Asha Hodhesh
Member
- Mar 7, 2015
- 7
- 1
Doctor,
Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 38 nimeolewa na nimejifungua mtoto wa kwanza nikiwa na umri wa miaka 29 na baada ya miaka saba nilijifungua mimba ya pili watoto wawili pacha.
Katika kipindi cha ujauzito nilianza kusumbuliwa na maumivu ya nyonga na mgongo hadi nikajifungua ile hali ikaendelea kwa kiasi cha miezi saba maumivu ya mgongo yakatoweka lakini maumivu ya nyonga yakaongezeka zaidi na kadri siku zinavyokwenda maumivu ya nyonga yanaisumbua sana.
Nilikwenda kumuona daktari alinishauri kutumia pain killer na mara moja nilichomwa sindano ya maumivu ya declofenac lakini maumivu yalitulia kwa siku 3 tu na hali bado iko vile vile.
Kingine ni kwamba tokea nimejifungua hadi sasa ni miezi 9 sijapata hedhi na sihisi kabisa hamu ya kujamiiana.
Naomba msaada wenu wa kitaalam please.
Mimi ni mama mwenye umri wa miaka 38 nimeolewa na nimejifungua mtoto wa kwanza nikiwa na umri wa miaka 29 na baada ya miaka saba nilijifungua mimba ya pili watoto wawili pacha.
Katika kipindi cha ujauzito nilianza kusumbuliwa na maumivu ya nyonga na mgongo hadi nikajifungua ile hali ikaendelea kwa kiasi cha miezi saba maumivu ya mgongo yakatoweka lakini maumivu ya nyonga yakaongezeka zaidi na kadri siku zinavyokwenda maumivu ya nyonga yanaisumbua sana.
Nilikwenda kumuona daktari alinishauri kutumia pain killer na mara moja nilichomwa sindano ya maumivu ya declofenac lakini maumivu yalitulia kwa siku 3 tu na hali bado iko vile vile.
Kingine ni kwamba tokea nimejifungua hadi sasa ni miezi 9 sijapata hedhi na sihisi kabisa hamu ya kujamiiana.
Naomba msaada wenu wa kitaalam please.