C candyj New Member Joined Aug 14, 2014 Posts 3 Reaction score 0 Oct 7, 2014 #1 Je kuumwa na tumbo mara baada ya kunywa Asali inasababishwa na nin?
TUMBOO JF-Expert Member Joined Jun 27, 2014 Posts 3,827 Reaction score 2,021 Oct 7, 2014 #2 Ivi kumbe asali wanakunywaga. .....nljua inarambwa ati
kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 Oct 7, 2014 #3 candyj said: Je kuumwa na tumbo mara baada ya kunywa Asali inasababishwa na nin? Click to expand... inawezekana una dalili ya vidonda vya tumbo...kama unavyo usilambe asali ukiwa hujala kitu au una njaa
candyj said: Je kuumwa na tumbo mara baada ya kunywa Asali inasababishwa na nin? Click to expand... inawezekana una dalili ya vidonda vya tumbo...kama unavyo usilambe asali ukiwa hujala kitu au una njaa
Lovery JF-Expert Member Joined Aug 15, 2014 Posts 1,555 Reaction score 3,208 Oct 7, 2014 #4 Kiziboo said: Ivi kumbe asali wanakunywaga. .....nljua inarambwa ati Click to expand... Asali huchanganywa na maji vuguvugu katika kikombe na kunywewa kwa namna ya matibabu. hivyo akisema kunywa asali usishangae mkuu.
Kiziboo said: Ivi kumbe asali wanakunywaga. .....nljua inarambwa ati Click to expand... Asali huchanganywa na maji vuguvugu katika kikombe na kunywewa kwa namna ya matibabu. hivyo akisema kunywa asali usishangae mkuu.
Lovery JF-Expert Member Joined Aug 15, 2014 Posts 1,555 Reaction score 3,208 Oct 7, 2014 #5 candyj said: Je kuumwa na tumbo mara baada ya kunywa Asali inasababishwa na nin? Click to expand... Pole hili tatizo hata mimi limenikuta hasa nikitumia asali kabla ya chakula.
candyj said: Je kuumwa na tumbo mara baada ya kunywa Asali inasababishwa na nin? Click to expand... Pole hili tatizo hata mimi limenikuta hasa nikitumia asali kabla ya chakula.