maumivu ya tumbo chini ya kitovu,juu kidogo ya uume..

maumivu ya tumbo chini ya kitovu,juu kidogo ya uume..

donMramba

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
250
Reaction score
42
ndogu zangu wataalamu wa afya mliopo hapa naombeni msaada wenu,mimi tumbo linaniuma takribani miaka mitatu au minne sasa..DALILI ni huwa lnauma wakati nikiwa nimebanwa na mkojo kidogo,nikichelewa kula,mkojo pia hutoka wenye rangi ya "chai ya rangi"pia mda mwingine hutoka wenye rangi nyeupe kama chokaa:help:
 
Una matatizo na mafigo yako...Wahi haraka hospitali ukachekiwa mafigo hayo ndio maana mkojo umebadilika rangi...
 
Back
Top Bottom