elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 17, 2014 #1 Jaman wapendwa mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, mara nyingi huwa napata maumivu ya tumbo chini ya kitovu, hili linaweza kuwa tatizo gan?
Jaman wapendwa mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, mara nyingi huwa napata maumivu ya tumbo chini ya kitovu, hili linaweza kuwa tatizo gan?
Nukta5 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,182 Reaction score 1,288 Oct 17, 2014 #2 Wakati gani unapata hayo maumiv
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 17, 2014 Thread starter #3 Mara nyingi, huwa tumbo linaniuma then linatulia
B Brigedia Chan-ocha JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 1,353 Reaction score 2,846 Oct 17, 2014 #4 Muone daktari haraka...
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 17, 2014 Thread starter #5 Brigedia Chan-ocha said: Muone daktari haraka... Click to expand... Asante kwa ushauri
figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Oct 17, 2014 #6 Baada ya kufanya mapenzi huwa inauma?. Mia
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 17, 2014 Thread starter #7 figganigga said: Baada ya kufanya mapenzi huwa inauma?. Mia Click to expand... Sio mara zote
R Redrose20 JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 213 Reaction score 35 Oct 17, 2014 #8 Nenda hosptl,pole.
M mchoyo Member Joined Aug 13, 2013 Posts 48 Reaction score 8 Oct 18, 2014 #9 pole kapime na uti inawezekana maambukizo kwa njia ya mkojo
M Mparee Halisi Senior Member Joined Jan 4, 2014 Posts 104 Reaction score 8 Oct 18, 2014 #10 Mara nyingi huwa Mwanamke akifanya mapenzi bila ya kufikishwa pale panapo(kuejaculate) tatizo hilo huwa hutokea sana
Mara nyingi huwa Mwanamke akifanya mapenzi bila ya kufikishwa pale panapo(kuejaculate) tatizo hilo huwa hutokea sana
QALLI MIZOH JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 2,075 Reaction score 698 Oct 18, 2014 #11 Maybe una ugonjwa unaitwa tambazi ni kama ngiri (hernia) kwa mwanaume .. Kwa uhakika zaidi nenda hospitali.
Maybe una ugonjwa unaitwa tambazi ni kama ngiri (hernia) kwa mwanaume .. Kwa uhakika zaidi nenda hospitali.
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 18, 2014 Thread starter #12 Redrose20 said: Nenda hosptl,pole. Click to expand... Asante
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 18, 2014 Thread starter #13 kalimizzle said: Maybe una ugonjwa unaitwa tambazi ni kama ngiri (hernia) kwa mwanaume .. Kwa uhakika zaidi nenda hospitali. Click to expand... Eeeeh sawa ndugu
kalimizzle said: Maybe una ugonjwa unaitwa tambazi ni kama ngiri (hernia) kwa mwanaume .. Kwa uhakika zaidi nenda hospitali. Click to expand... Eeeeh sawa ndugu
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 18, 2014 Thread starter #14 Mparee Halisi said: Mara nyingi huwa Mwanamke akifanya mapenzi bila ya kufikishwa pale panapo(kuejaculate) tatizo hilo huwa hutokea sana Click to expand... Mmmh sawa ndugu
Mparee Halisi said: Mara nyingi huwa Mwanamke akifanya mapenzi bila ya kufikishwa pale panapo(kuejaculate) tatizo hilo huwa hutokea sana Click to expand... Mmmh sawa ndugu
elicious Member Joined Sep 7, 2014 Posts 45 Reaction score 6 Oct 18, 2014 Thread starter #15 mchoyo said: pole kapime na uti inawezekana maambukizo kwa njia ya mkojo Click to expand... Asante kwa ushauri
mchoyo said: pole kapime na uti inawezekana maambukizo kwa njia ya mkojo Click to expand... Asante kwa ushauri