Maumivu ya tumbo la uzazi

Maumivu ya tumbo la uzazi

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Jaman hawa nao wamezidi sasa!! kila kukicha afadhali ya jana!! waungwana nina demu wangu kiukweli ananipenda sana! hivi juzi kati ameanza kuumwa na tumbo sana! nkawa nawaambia machizi wangu kuhusu hili tatizo la kuumwa na tumbo kila saa! wakaniambia maybe mamsapu atakuwa ashawahi kutoa mimba!! kukutana na mamsapu wangu nkawa namkomalia aniambie ni kwa sababu zipi tumbo lake la uzazi limuume daily?? hakutaka kuniambia ukweli kuhusu kma kweli aliwahi kutoa mimba au la! je wadau, huu ushauri wa rafiki zangu kuwa demu wangu atakuwa kafanya kutoa mimba ni kweli?? naombeni ushauri wakubwa! nifanyeje??
 
mkuu magonjwa mengi huambata na maumivu ya tumbo.especially yale ambayo ni chronic mgonjwa atakuwa anapata maumivu mara kwa mara. chamsingi aende hospitali akachukue vipimo kujua ni tatizo gani. ungemuliza tumbo linauma sehemu gani? ni kweli utoaji mimba unasabisha tumbo kuuma lakini je yeye amekuambia alishatoa? kama ni hapana basi mushauri mkapime na muonanane na dactari
 
daaaaaaaaaah! wakuu muda si mrefu baada ya ku-post hii kitu nimetoka kugombana nae kiukweli kaniambia kuwa ashatoa mimbaaaaaa! nikataka nim-betue nkamwonea huruma coz kabla ya kuniambia ukweli kaanza na apology nyingi nikam-promise sitamfanyia chochote kibaya!!! sasa wakuu nifanyeje na maji yashamwagika?? KAKA NDOKEJI nakuaminiaaaaaa!!!
 
Jaman hawa nao wamezidi sasa!! kila kukicha afadhali ya jana!! waungwana nina demu wangu kiukweli ananipenda sana! hivi juzi kati ameanza kuumwa na tumbo sana! nkawa nawaambia machizi wangu kuhusu hili tatizo la kuumwa na tumbo kila saa! wakaniambia maybe mamsapu atakuwa ashawahi kutoa mimba!! kukutana na mamsapu wangu nkawa namkomalia aniambie ni kwa sababu zipi tumbo lake la uzazi limuume daily?? hakutaka kuniambia ukweli kuhusu kma kweli aliwahi kutoa mimba au la! je wadau, huu ushauri wa rafiki zangu kuwa demu wangu atakuwa kafanya kutoa mimba ni kweli?? naombeni ushauri wakubwa! nifanyeje??

Ni yule yule anayetoa harufu mbaya ukeni.....au mwingine!!??
 
mbona unatuzingua? unaenjoy wanawake hapa
 
Kaazi kweelii kwelii !!!!!!!!!!!!!!

Jamaa demu wake kila maradhi anaumwa yeye. Labda hataki kumpa unyumba njemba ana fanya kama vidonge vya hosp. Saa zote yupo attention.
 
Jamani e, sio kila m2 anae-post tatizo la kiafya hapa JF ndo kwamba linamhusu au la! yaweza kuwa ni ndugu jamaa au rafiki yake ndo amefikwa na jambo hili! ila kwa vile huwa sisi ni ndugu, 2nayachukuwa matatizo hayo na kuya-present mbele ya wataalamu ili yapatiwe ufumbuzi! sioni sababu ya kunifikiria vibaya mimi! naweza kuchukua tatizo la m2 na kuliwasilisha hapa kma vile ni langu lakini sivyo coz sio wa2 wote wanaweza kuingia kwenye mtandao kama wewe/sisi! NAOMBA HILO LIELEWEKE!!!!!!
 
Back
Top Bottom