maumivu ya tumbo na mgongo kwa mjamzito

Happyness Mezzah

New Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Wataaramu was afya naomba msaada
Me ni mjamzito wa miezi tisa lakin nasumbuliwa na maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo kalibia inafika wiki na nusu lakn cyo ya moja kwa moja kina muda yanaacha na kurudi ka baada ya masaa kadhaa plz nisaidie kwa wenye uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…