Maumivu ya tumbo nikilaTunda la nanasi

karugila

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2014
Posts
1,275
Reaction score
685
Dr naomba kuuliza kwa nini napata maumivu ya tumbo ikiwa pamoja na kuharisha nikila tunda la nanasi?
 
Dr naomba kuuliza kwa nini napata maumivu ya tumbo ikiwa pamoja na kuharisha nikila tunda la nanasi?

Kama una dalili ya vidonda vya tumbo usile nanasi ukiwa na njaa. Hata usipokua na vidonda tumbo kama halina kitu then ukila nanasi lazima tumbo litauma . Nanasi linakwangua sana tumbo linasaidia sana usagaji wa chakula na kupelekea kupata choo kingi na laini sana kama mtu anayehara.kula kiasi baada ya kula chakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…