mwinyi mpemba
Member
- Oct 9, 2017
- 11
- 2
Assalamu alaikum.
Leo napenda kutoa faida ya mtu anae matatizo ya MAUMIVU YA VIUNGO. Kabla sijatoa tiba Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na baridi na wale wanapendelea sana kula Nyama nyekundu kama ya ng'ombe, mbuzi na kondoo. Kabla hujatumia dawa yeyote hii jitahidi kuepuka mambo hayo.
TIBA
pika hinna, kuzbara na siki changanya pamoja na uipike iwe nzito na uweke sehemu iliyo na maumivu. Inshaallah tatizo litaondoka.
Leo napenda kutoa faida ya mtu anae matatizo ya MAUMIVU YA VIUNGO. Kabla sijatoa tiba Mara nyingi tatizo hili linasababishwa na baridi na wale wanapendelea sana kula Nyama nyekundu kama ya ng'ombe, mbuzi na kondoo. Kabla hujatumia dawa yeyote hii jitahidi kuepuka mambo hayo.
TIBA
pika hinna, kuzbara na siki changanya pamoja na uipike iwe nzito na uweke sehemu iliyo na maumivu. Inshaallah tatizo litaondoka.