Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Inasikitisha kuona kwamba raia wote mmekurupuka
na kujibu nje na point.
REASON FOR EDITING
Wanajamii hawajaelewa habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa mji mnaweza kutupa ndogo ndogo ni jamaa gani kafanya mambo?
Mimba ni Baraka na wala sio kuvimbisha - After all if that is true she has proved to be a WOMEN ENOUGH!Wale washabiki wa sauti nyororo kutoka kwa binti Maunda Zoro msione hapatikani jukwaani siku hizi, ni kwamba ana mimba kwa sasa jamaa wameshajaza kama picha ya hivi karibuni inavyoonyesha hapo chini
Watoto wa mji mnaweza kutupa ndogo ndogo ni jamaa gani kafanya mambo?
udaku jumla
Wale washabiki wa sauti nyororo kutoka kwa binti Maunda Zoro
msione hapatikani jukwaani siku hizi, ni kwamba ana mimba kwa sasa jamaa wameshajaza kama picha ya hivi karibuni inavyoonyesha hapo chini
Watoto wa mji mnaweza kutupa ndogo ndogo ni jamaa gani kafanya mambo?
ikiwezekana dada zetu wanaoibukia kwenye fani nao wawe makini kama ishu
inatokana na mambo ya sanaa
http://4.bp.blogspot.com/_uDjCUzboFtk/S3kpRAJ8aII/AAAAAAAABa4/DE5xd8huZU4/s1600-h/DSC01416.JPG
Huyu Vipiiiiii??
nahisi alimtaka bi mkubwa sasa anaona wamemuwahi wenzie ndo maana anataka mtu wa kumhelp kumpata huyo mpinzani
Wale washabiki wa sauti nyororo kutoka kwa binti Maunda Zoro
msione hapatikani jukwaani siku hizi, ni kwamba ana mimba kwa sasa jamaa wameshajaza kama picha ya hivi karibuni inavyoonyesha hapo chini
Watoto wa mji mnaweza kutupa ndogo ndogo ni jamaa gani kafanya mambo?
ikiwezekana dada zetu wanaoibukia kwenye fani nao wawe makini kama ishu
inatokana na mambo ya sanaa
http://4.bp.blogspot.com/_uDjCUzboFtk/S3kpRAJ8aII/AAAAAAAABa4/DE5xd8huZU4/s1600-h/DSC01416.JPG
Nyie vipi mnamkandia MP kwani nini!
Udaku ni ruksa kisheria, na ndo maana kuna watu wanaoa kutokana na habari za udaku!...huh!
Huyu ni celebrity wa kibongo bana...habari zake lazima zijulikane na watu kibao, kwenye ma-show yake mnajaa ka nzige, halafu mnajifanya !udaku"...acheni hizo bana...mbona mnanunua magazeti ya udaku ya Shigongo kama njugu, na mmeyajaza majumbani kwenu, huku mnajifanya hamtaki udaku!..kweeeee!!!