Mauritius ni Wahindu kwa asilimia kubwa. Wahindu hawafukuzi watalii kisa mtalii kalalamika gari limebandikwa stiker ya free PalestinaNawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Halafu G thongs Rukhsa kama Vazi la kuogelea tena Serikali yao inawahimiza Raia wake wavae zenye Bendera ya MauritiusMauritius ni Wahindi kwa asilimia kubwa. Wahindu hawafukuzi watalii kisa mtalii kalalamika gari limebandikwa stiker ya free Palestina
Msimamo mkali wa Dini ni dalili za Ujinga na ukosefu wa Elimu ya DuniaMaendeleo ya sasa hayahitaji uwe na msimamo 100% katika dini
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Huwezi kuogelea huku umevaa Baibui au Kanzu ni kujitafutia kufa Maji tu.Mauritius hakuna upuuzi kama ilivyo upuuzi wa wazanzibar
Hawa wa Visiwani Uisilamu wao ni ule wa Mkwamo wakati wenzao wa Dubai wana Progressive Islam.Wawaangalie wenzao Saudi, Omani, Dubai, Qatar
Kule wanatumia akili hakuna uchawa.Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Inakuwa ni Information overload kwa Mashehe Mkwamo.Zanzibar mtaruhusu watu wazurule na chupi, watu wapigane miti hovyohovyo, mashoga na wasagaji waje kupumzika?