kwel bodi ya mikopo tanzania inaendeshwa kwa ubabaishaji!ni hivi unapewa bum la kwanza then wanakuja na sababu bum la pili kuwa information zako zimekosewa!ukidadis zaidi wanadai kuwa kosa ni katika database yao,instead ya kusolve tatizo hilo haraka sasa umepita mwezi no bum!Je ni wangapi tanzania hii wanafanyiwa hivyo?wanategemea vijana watemeao hzo hela wanaishije?
Wadau hali mbaya kama hali itaendelea kuwa hivi!!!