Mauzo ya data Tanzania ni hasara

Mauzo ya data Tanzania ni hasara

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
7,134
Reaction score
4,556
Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara haitakua suluhisho.

Kuna mawili apa, either biashara za mawasiliano zitafungwa ama serikali ibebe jukumu ya kuongezea kiasi kidogo kufidia
 
Biashara ni kama maji, hata uyazuie vipi, kama demand ipo basi itaendelea tu, ni kama madawa ya kulevya, hata unyonge watu, ilimradi demand ipo, basi itaendelea tu.
Demand katika price point ipi?

Serikali ikitoza kodi kubwa, na gharama za uendeshaji zikawa kubwa na wawekezaji wakataka faida kubwa, bei itakuwa kubwa sana.

Na bei inavyozidi, kwa watu wenye purchasing power ndogo na mambo mengi, demand ya data kwa bei hiyo kubwa itapungua.

Hutakiwi kuongelea demand bila kuongelea demand hiyo kwa bei fulani.

Gazeti moja hilo hilo unaweza kuuza Sh 150 likawa na demand kubwa, halafu ukaliuza Sh 1,500 demand ikashuka kutokana na bei kupanda.
 
Pole sana huna akili ulichokikosea kwenye uzi wangu ni nini?

Vijana wa CCM hamnaga akili
 
Demand katika price point ipi?

Serikali ikitoza kodi kubwa, na gharama za uendeshaji zikawa kubwa na wawekezaji wakataka faida kubwa, bei itakuwa kubwa sana.

Na bei inavyozidi, kwa watu wenye purchasing power ndogo na mambo mengi, demand ya data kwa bei hiyo kubwa itapungua.

Hutakiwi kuongelea demand bila kuongelea demand hiyo kwa bei fulani.

Gazeti moja hilo hilo unaweza kuuza Sh 150 likawa na demand kubwa, halafu ukaliuza Sh 1,500 demand ikashuka kutokana na bei kupanda.
Ndio nikasema, so as long as demand ipo, biashara itaendelea, mfano mimi, kutokana na uhitaji mkubwa wa internet katika shughuli zangu, hata uniuzie GB1 shs.10,000/= nitalipa tu, infact hata 100,000/= nitalipa , maana najua itarudi atleast mara 10 yake at any given day, so demand ikiwepo hata ufanyeje, tutalipa tu
 
Biashara ni kama maji, hata uyazuie vipi, kama demand ipo basi itaendelea tu, ni kama madawa ya kulevya, hata unyonge watu, ilimradi demand ipo, basi itaendelea tu.

yana mwisho haya na data lazima itapanda bei one day
 
Waache kutaka faida kubwa

Mwanzo waliachiwa ili iwe incentive kwao, sasa wasifeel kuwa wako entitled kupiga mifaida mikubwa!

kutokana na mzungumzo yao, kiukwel ukilinganisha na cost za connectivity nchi nzima hakuna faida inapatikana apo, japokua wameamua kuuza minara ila bado ni hasara
 
Sasa mkuu, hesabu rahisi, yeye amesema wanauza Tsh. 1 kwa MB.... Lakini hadi sasa wanauza Tshs 3 kwa MB....

Au???

bado ni loss: wamependekeza data iuzwe Sh6 – 7 per megabyte
 
Sijawahi kusikia mfanyabiashara anayesema anapata faida, hasa hawa wanaofanya huku tunakoitwa nchi ya dunia ya tatu, wote wanasema hasara ila hawaondoki

hasara ni kitu cha kawaida sana, mbna makampuni mengi tu nchi za nje nazo hazipati faida, mfano youtube haijawahi kua na net profit na haijawahi kutoa gawio toka imeanzishwa, hata simba ni loss making hakuna cha kushangaza apo
 
Sijawahi kusikia mfanyabiashara anayesema anapata faida, hasa hawa wanaofanya huku tunakoitwa nchi ya dunia ya tatu, wote wanasema hasara ila hawaondoki
Crdb, Nmb hujawaskia wamesema wamepata billioni(200+) ya faida?
 
Back
Top Bottom