A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000
B. matumizi -
FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE
Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.
pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu
B. matumizi -
- TRA (kwa mwaka) 300,000
- leseni (kwa mwaka) 120,000
- frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
- Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
- Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
- chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
- vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
- gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua
- Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi
FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE
Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.
pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu