Mavazi bunge la katiba bado

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Wakuu nimeshuhudia mavazi bunge la katiba ni ya ovyo ovyo upande wa wanawake, wengi wamevalia suruali za kubana na kuwachora maumbo yao, Nakumbuka jana Mwenyekiti wa muda alieleza hili swala la mawazi au mpaka Sita aingie ndo watabadilika hawa wanao vaa ovyo ovyo? Jamani wamama msiwatege wachungaji, maaskofu, masheikh na wote wanao jiheshimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…