Jamani tuache kutafuta vijisababu. Nguo kama vazi havitazuia mtu kungonoka. Tokeni nje mkang'aenga'e macho kwingineko. Dunia sasa kijiji hata mngewavika baibui wote. Kama tamaa zako unaziachia tu na hazifugiki baasi ngono ni lazima.
Badiliko la fikra litatusaidia zaidi. Hebu fikiri, madaktari wangebaka wangapi? Tubadili fikra zetu ndo usalama wetu. Si kila mwanamke akipita mbele yako, tiyari mpango wa kungonoka unaanza kichwani. Tutaangusha wangapi?
Sereekali inapoteza fedha za kigeni kuagiza kondom, sasa walioltewa wanasema ati hakuna raha ukivaa. Badilini fikra, wazeni kujenga taifa na haswa familia. Fikiria, watoto wako umewaachaje, weye na umri mdogo hivyo?