Mavazi Stahiki kwa Kuzingatia Kimo na Rangi

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau na Wajuzi wa fasheni mavazi gani stahiki kwa wanamume wafuatao kulingana na hali zao( kwa mfano aina mavazi na ranging zake n.k)
a) Mtu mwanamume mrefu mweupe

b) Mtu mwanamume mrefu mweusi.

Aksanteni sana.
 
Pigo za Mpoto ni safi sana kwa wote.

[HASHTAG]#Dumishatamaduni[/HASHTAG]
 
Hakuna mavazi stahiki ila mavazi huendana na mahali ulipo...pia ukijihisi wewe umependeza utakua na confidence ukiwa na confidence hata watazamaji watakuona umependeza.

Mwanaume yeyote mrefu akivaa suti hua anapendeza sana tofauti na mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…