Mavazi ya kibongo fleva

Mavazi ya kibongo fleva

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,746

CE0L1uGUsAExIVr.jpg
 
6071
Samahani mkuu, unataka kusema jamaa siyo kabisa au? Sijakufahamu bado
 
Ndo maana wanashindwa 'kazi'... we kutwa nzima dushele imeminywa namna hiyo! ni kama kuku wa kisasa akishazoea bandani hata ukimtoa nje hajielewi... hawezi hata kukimbia...
 
Daah...watoto wetu wa kike sijui watakuja kukutana na vitu gani huko mbele, kama leo tu hali ni hii....
 
Watakuwa ma dizaina, kuna ka genge ka vijana wa kitz huko insta ni shida sana. Wanavaa nguo za dada zao.
 
Tatizo alivyovaa hivyo kwa mara ya kwanza alipewa sifa lukuki kuwa kapendeza...
 
Back
Top Bottom