mkuu hilom avatar lako la tembo linanichekeshaga sana, ulilipatia kweli kweli, humu ndani kuna avatar mbili nazipenda sana hasa ya kwako na ile MTU ANAKIMBIZWA NA MBUNI
Yaani ukimsifia siku hizi jamaa yako anayajua maboo jongoo anapanda mtungi anakuogelea mpk unasema poo basi umeharibuu unaweza nyanganywa ukionaa ananyakuliwa kama kunguru anavyonyakuwa