Mavazi ya kibongo fleva

mkuu hilom avatar lako la tembo linanichekeshaga sana, ulilipatia kweli kweli, humu ndani kuna avatar mbili nazipenda sana hasa ya kwako na ile MTU ANAKIMBIZWA NA MBUNI

Hapo kwenye herufi kubwa.....
cc Zamaulid
 
Last edited by a moderator:
Hawachelewi kuja kuomba ushauri humu wamekuta msg za jamaa mwingine kwa simu ya girlfriend wake
 
si anauza body wakina dada waone sexbody na sixpack
 
Huyo atakuwa mchele punga tu c kwa mavazi hayo
 
Yaani ukimsifia siku hizi jamaa yako anayajua maboo jongoo anapanda mtungi anakuogelea mpk unasema poo basi umeharibuu unaweza nyanganywa ukionaa ananyakuliwa kama kunguru anavyonyakuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…