Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Huyo aliyevaa nyekundu sidhani kama amevaa chupi
 
nachojiuliza mpaka unatumia hizi picha ..did you do it with their consent ?or ...kama hapana basi umeamua kuwadhalilisha watoto wawatu kwani nategemea maneno makali yatawafikia hawa watoto
 
hahaha Fixed Point kwa uzoefu wangu watakushangaa..hili la ofisini kabisa!

CC nyumba kubwa King'asti Heaven on Earth Husninyo

akha jamani!!!!

La ofisini? La kanisani hilo. Ofisini shurti cleavage itokeemo

Hili litanizonga bwana!! Kinatakiwa kitu kiende juu ili nikiserebuka nisipate shida.

weeh nawe! sasa hapo watu wakikuangalia si unaonekana kama ndio matron wa club? ebooo (in lara 1's voice)

 

Kwa kweli alitumia busara sana, hata mwanangu nitakuwa namwambia hivo!
 

hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. Jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa thamani sana pls! Kha!

wamependeza.
 
Wenyewe masupa staa wanaziita nguo za red carpet....

Lakini kama umeamua kwenda disco kuserebuka na si kupiga picha (red carpet) hiyo nguo haina nafasi....

Hehehe ze madame.
Ila nguo ndefu na hili joto la bongo, mweeh.
Hata miguu inahitaji hewa. Utachangamka lini na wewe bwanaa, khaa
 
Hehehe ze madame.
Ila nguo ndefu na hili joto la bongo, mweeh.
Hata miguu inahitaji hewa. Utachangamka lini na wewe bwanaa, khaa
ha haaa, mimi miguu yangu inapata hewa sana....
but hewa mpaka kwa bibi?
joto gani hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…