Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Jeshi la waruga-ruga lilikuwa ni jeshi lililoundwa na mtemi Mirambo. Lilijumuisha watu aliowaokota huku na huko. Wangoni, watu waliokimbia utumwa, mateka wa kivita, na watu wengine waiosomeka.
Inasemwa kuwa mbinu kubwa ya jeshi hili ilikuwa ni kuwatisha adui zao. Walikuwa wakivaa vipande vyekundu vya nguo mabegani na kuwaambia maadui zao, "damu yenu hii."
Kichwani walivaa kofia zilizotengenezwa kwa mafuvu ya watu. Shingoni walivaa mkufu uliotengenezwa kwa meno ya watu. Ma kiunoni walijifunga mkanda uliotokana na utumbo wa watu.
Inasemwa kuwa mbinu kubwa ya jeshi hili ilikuwa ni kuwatisha adui zao. Walikuwa wakivaa vipande vyekundu vya nguo mabegani na kuwaambia maadui zao, "damu yenu hii."
Kichwani walivaa kofia zilizotengenezwa kwa mafuvu ya watu. Shingoni walivaa mkufu uliotengenezwa kwa meno ya watu. Ma kiunoni walijifunga mkanda uliotokana na utumbo wa watu.