Mavazi...

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,009
Reaction score
60,629
Guys baada ya kutujulisha kwa kiasi gani msivyopenda tunavyozika nywele zetu ndani ya mawigi na weavings nimeona niulize kuhusu upande wa mavazi...!Maana hua hamuishi kulalamika sijui tunajiachia sana...wengine hawajali stlye kwao ilimradi kuvaa tu!

Je wewe unapenda mke/mchumba/mpenzi wako avae mavazi ya aina gani ili nafsi yako iridhike na kufurahi?!Kua free kuongelea occasion tofauti kwanzia nyumbani...kwenye majukumu ya kijamii mpaka mnapokua mmeongozana kwenye mitoko ya weekend!
 
Nyumbani upande mmoja wa kanga unatosha, tena zile za india maana zile ni nyepeeesi.......
 
Apendacho ndicho nipendacho........................it is a free WORLD.................
 
Nyumbani upande mmoja wa kanga unatosha, tena zile za india maana zile ni nyepeeesi.......

Haiwezekani wakati wote akawa amevaa kanga moja, kuanzia asubuhi mpaka jioni, lazima kutakuwa na vazi kabla ya hiyo kanga
 
Nyumbani avae nguo zake za kuzaliwa

Huko nje inategemea na hali ya hewa na mazingira na (ma)tukio.

Napenda sun dress, daisy dukes (kama ana miguu ya chupa ya bia. Akiwa na miguu ya chupa ya gongo hapana. Tutakorofishana.), capri pants, skinny jeans, thongs marufuku kuvaa, grandma underwear mwiko.
 

Daisy dukes atoke kama hapa ehhhh
http://www.google.co.uk/m/search?site=images&source=mog&hl=en&gl=uk&client=ms-android-lge&q=daisy%20dukes#i=13

Hahahha hapo kwenye nguo za kuzaliwa safi kabisa maana hata sio gharama!
 
Mkuu ngabu uko sawa kabisaaa, nyumbani maguo ya nini tena
 
Mkuu ngabu uko sawa kabisaaa, nyumbani maguo ya nini tena
Si za kufunika zile za kuzaliwa zisichafuke?!Pia wageni wasije wakawakuta ndivyo sivyo maana bongo bado watu hua wanatembeleana bila taarifa!!!
 

Anawezavaa chochote except huwa nachukia sana demu wangu ama mwanamke yoyote akivaa skin tight na juu avae just t-shirt. Hapo she just get on my nerves....I hate hizo skin tights a.k.a kanyela mumo.
 
Anawezavaa chochote except huwa nachukia sana demu wangu ama mwanamke yoyote akivaa skin tight na juu avae just t-shirt. Hapo she just get on my nerves....I hate hizo skin tights a.k.a kanyela mumo.
Kwanini unazichukia?!
 
Tukiwa nje avae nguo za heshima ambazo zinaendana na mwili wake na awe na furaha na alicho kivaa. Sio kuvaa nguo ambazo zinaachia viungo tata vya mwili kama anafanya biashara.

Tukiwa ndani kama hamna watoto kwenye familia avae chochote kila ambacho anajisikia wakati wa shughuli za hapa na pale. Ukifika mda wa kupumzika pamoja napendelea avae lingerie.
 
Zile za kuzaliwa zinafunikwa na kijipande cha kanga tu lizzy
bana
Si za kufunika zile za kuzaliwa zisichafuke?!Pia wageni wasije wakawakuta ndivyo sivyo maana bongo bado watu hua wanatembeleana bila taarifa!!!
 

Mhh Lizzy mi nasema inayowahusu hao guys

Mi sipendi wanaume wanaivaa suruali halafu hawavai au kuhifadh maungo vizuri. Yan unakuta mtu hapo mbele panaonekana pacheza cheza tena hapo mtu kavaa sut. Yan pamelegeaaaaaaa

Nisamehen km nimeleta yasiohusika!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…