Mavokali akichanga karata zake vizuri atakuwa msanii 'A-list' wa Afrika, amebakiza baraka za Diamond tu atoboe

Mavokali akichanga karata zake vizuri atakuwa msanii 'A-list' wa Afrika, amebakiza baraka za Diamond tu atoboe

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Msanii chipukizi mwenye bahati ya mtende kuota Jangwani, wakuitwa Mavokali anapasua anga kama masihara.

Wengi naamini hammjui Mavokali na hamjui balaa analofanya uko duniani. Basi niwaambie ngoma yake inaitwa Komando imekuwa maarufu sana nchi za wazungu. Hakuna ujanja wowote aliyofanya bali ni zari tu limetokea.

Hii ni fursa ambayo akiitumia vizuri tunaweza kutengeneza msanii millionaire mpya mjini.

Anachotakiwa sasa ni kufanya jambo moja tu, amkabidhi wimbo Diamond aweke sauti yake hata kipande cha maneno matatu, it will never be the same.

Mavokali atakuwa anatembea na malundo ya dollars baada ya hapo. Ataizunguka hii Dunia yote kufanya shows na digital platforms zake zitabast.

Ni ilo tu kabakisha!
 
Duh!
Umesema kweli, mwanzo nilikua najua unafanya Promo ila nikaenda huko Duniani kupitia simu yangu, nikagundua umesema kweli, nikaenda kutazama Interview moja ya jana tu ya huyo Dogo!

Inaonekana kama tayari keshafanya Remix na Diamond (japo hajamtaja jina) kwa namna anavyoelezea, hafu yeye ndo alimtafuta huyo Dogo!

Dogo anasema Remix nyingine ameshanya tayari na Top Nigerian Musician, Remix zingine zinategemea kufanywa Latin America, Spain na nchi nyingine!

Dogo katoboa kwa Speed sana hata Diamond haikua hivi, coz tayari keshapata Show kama 6 za Africa, America na Europe.

Hongera yake!!
 
Picha yake tafadhali;!??
images.jpeg
 
Tatizo hereni masikioni wananikera sana wasanii wa kiume wanaovaa hereni kwa masikio yao na waliotoboa pua hata wa bongo movies wakiume wanaovaa hereni mimi hapana
 
Duh!
Umesema kweli, mwanzo nilikua najua unafanya Promo ila nikaenda huko Duniani kupitia simu yangu, nikagundua umesema kweli, nikaenda kutazama Interview moja ya jana tu ya huyo Dogo!

Inaonekana kama tayari keshafanya Remix na Diamond (japo hajamtaja jina) kwa namna anavyoelezea, hafu yeye ndo alimtafuta huyo Dogo!

Dogo anasema Remix nyingine ameshanya tayari na Top Nigerian Musician, Remix zingine zinategemea kufanywa Latin America, Spain na nchi nyingine!

Dogo katoboa kwa Speed sana hata Diamond haikua hivi, coz tayari keshapata Show kama 6 za Africa, America na Europe.

Hongera yake!!
Kamzidi konde boy number one bakhressa
 
Tushasema sana hili swala na hatutachoka kurudia tena; tunaomba muwe mnaweka picha kwanza ya msanii,link ya uo wimbo na hao wazungu
 
Tatizo hereni masikioni wananikera sana wasanii wa kiume wanaovaa hereni kwa masikio yao na waliotoboa pua hata wa bongo movies wakiume wanaovaa hereni mimi hapana
Ifike mahala usikilize audio peke yake achana na videos mkuu km unahisi hereni zake zitakunyima pepo
 
Msanii chipukizi mwenye bahati ya mtende kuota Jangwani, wakuitwa Mavokali anapasua anga kama masihara.

Wengi naamini hammjui Mavokali na hamjui balaa analofanya uko duniani. Basi niwaambie ngoma yake inaitwa Komando imekuwa maarufu sana nchi za wazungu. Hakuna ujanja wowote aliyofanya bali ni zari tu limetokea.

Hii ni fursa ambayo akiitumia vizuri tunaweza kutengeneza msanii millionaire mpya mjini.

Anachotakiwa sasa ni kufanya jambo moja tu, amkabidhi wimbo Diamond aweke sauti yake hata kipande cha maneno matatu, it will never be the same.

Mavokali atakuwa anatembea na malundo ya dollars baada ya hapo. Ataizunguka hii Dunia yote kufanya shows na digital platforms zake zitabast.

Ni ilo tu kabakisha!
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?
 
Back
Top Bottom