Mavoko aachia video ya wimbo wake mpya... Icheki hapa

Mavoko aachia video ya wimbo wake mpya... Icheki hapa

dah ali kiba mwezi wa tatu huu hata video ya mwana hajatoa , yule jamaa sijui ana matatizo gani
 
Ninachompendea huyu jamaa hategemei kumshirikisha mtu kama shetta yeye anatoa video yake kama yeye hongera zake amejitahidi sanaaa na nyimbo zake zote kali sanaaa
 
dah ali kiba mwezi wa tatu huu hata video ya mwana hajatoa , yule jamaa sijui ana matatizo gani

Jamaaa management yake aiseee ndio tatizo kubwa sana hapo na sio zaidi mkuu
 
Imetulia....ila simuelewi huyo chui wa kuchora....kaziyake ni kunusanusa jeans tu au?
 
Ninachompendea huyu jamaa hategemei kumshirikisha mtu kama shetta yeye anatoa video yake kama yeye hongera zake amejitahidi sanaaa na nyimbo zake zote kali sanaaa

umeongea kweli mavoko anatisha hata mi nampenda na wimbo wake mzuri pia.
 
Yaaap adam juma amewaonesha hao wanaojifanya wana dharau wakati yeye ndo kawatoa laa sivyo hata huko nje wasingekujua...big up mavoko and aj kwa kazi nzuri...huu ndo ushindan tunaoutaka...video shot in cape town....
 
ally k nae mzuri,lakini sijui tu anamatatizo gani maskini.

niliipenda sana nyimbo ya mwana na nilishabikia sana lakini nimegundua jamaa ni chizi yule video mda wote huo anadhani watu wanaendelea kumuonea huruma?
 
niliipenda sana nyimbo ya mwana na nilishabikia sana lakini nimegundua jamaa ni chizi yule video mda wote huo anadhani watu wanaendelea kumuonea huruma?

Inakatisha tamaa,lakini tuendelee kumsapot tu tutafanyaje ndo wanamuziki wetu hao.hivi hakuna mtu wa kuja kulijibia hapa?!
 
niliipenda sana nyimbo ya mwana na nilishabikia sana lakini nimegundua jamaa ni chizi yule video mda wote huo anadhani watu wanaendelea kumuonea huruma?

Kumbe sometimes unaongeaga vitu vya maana hivi??ni kweli uliyosema...kuna siku team yake iliweka picha ambayo ni ya video yake,sijui ataitoa kimyakimya manake yule nae...
 
niliipenda sana nyimbo ya mwana na nilishabikia sana lakini nimegundua jamaa ni chizi yule video mda wote huo anadhani watu wanaendelea kumuonea huruma?

Amuambie Ndomo ampe pesa ya kutoa video banaa
 
Back
Top Bottom