Mavoko aachia video ya wimbo wake mpya... Icheki hapa

umeongea kweli mavoko anatisha hata mi nampenda na wimbo wake mzuri pia.

Yeah jamaa kwanza anajiamini sana ndio uzuri wake anafanya kazi kwa uwakika zaidi....video zake zote anazoimba
 
​Jamaa wameiba nyimbo ya Ali Kiba


Dah,inaonekana unapenda shughuli sana...kimasomaso ya Ali Kiba imekuboa naona unayo ya enzi yako ya Matona
 
Last edited by a moderator:
ila twende na ukwel. kiba mvivu sana wa kufikiri it seemz ameridhika wala hataki competition kwenye game.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…