Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Unatakiwa uwe na adabu kidogoKidato cha nne Mimi simshangai.Nimeona mwenye PhD na hawezi.
Mkuu kosa langu ni nini?Unatakiwa uwe na adabu kidogo
Makosa ya kimtandao yanakuhusu kwi kwi kwi!!!!!Amefanya uamuzi muhimu katika Carrier yake na yule bwana mkubwa wa nchi afuate nyayo za Richard
Kimombo ni matatizo sana jamani. Mimi nilikua mzungumzaji mzuri sana wa kimombo miaka mingi hadi mwaka jana baada ya Lowassa kupoteza urais akili yangu ikavurugika maneno yote ya kimombo yaliyokua kichwani yakatoweka.
Sasa nataka nianze moja kujifunza kimombo. Nimejifunza jambo moja kimombo hakitaki uwe na msongo wa mawazo, vinginevyo utakipoteza.
Hata na mimi namjua,anapenda ng'ombe sana.Kidato cha nne Mimi simshangai.Nimeona mwenye PhD na hawezi.
Stay there, alafu tunalalamika kazi za zinachukuliwa na Wakenya na Waganda. Ukiwa bilingual hata Botswana, South Afrika, Angola unaweza kwenda kuomba kazi. Au labda mwenzetu tajiri, sisi waganga njaa tunanusa kila kona.Mbona Waziri mkuu alishasema serikali inaajiri wakalimali kila nchi na kiswahili ndiyo iwe lugha ya kuongea kimataifa? Sioni umuhimu wa mtu kupoteza mda kwenda kusoma kingereza wakati tayari nchi unayotaka kwenda utaenda kuwakuta hao wakalimali
aroooo unaitwa hapa porisi sentrooo kwa uchochezi,mama jesika ndio nani kwani yeye huyo mama jesika aimfundishe mumewe amfundishe richardKwani Mama Jessca si mwalimu? Amfundishe..
Hahahahh!!! mkuu umenivunja mbavu.Kimombo ni matatizo sana jamani. Mimi nilikua mzungumzaji mzuri sana wa kimombo miaka mingi hadi mwaka jana baada ya Lowassa kupoteza urais akili yangu ikavurugika maneno yote ya kimombo yaliyokua kichwani yakatoweka.
Sasa nataka nianze moja kujifunza kimombo. Nimejifunza jambo moja kimombo hakitaki uwe na msongo wa mawazo, vinginevyo utakipoteza.
hahaha itakuwa labda ni vyote kwa pamoja![emoji23] [emoji23] [emoji23] Kaka...Ni carrier yake au career yake??
na yeye atafute demu wa Uganda ili ajue Ngeli kama boss wake
Mimi nikishapiga maji ya ilala (kilimanjaro ya baridiii) ki english kwangu kinakua si tatizo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa umetisha!!Kimombo ni matatizo sana jamani. Mimi nilikua mzungumzaji mzuri sana wa kimombo miaka mingi hadi mwaka jana baada ya Lowassa kupoteza urais akili yangu ikavurugika maneno yote ya kimombo yaliyokua kichwani yakatoweka.
Sasa nataka nianze moja kujifunza kimombo. Nimejifunza jambo moja kimombo hakitaki uwe na msongo wa mawazo, vinginevyo utakipoteza.