upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Wafanyabiashara wadogo Kutoka Dodoma (Uwamama) Umoja wa mama wafanyabiashara wadogo wa masoko zaidi ya 300 wamekabidhiwa shamba la Zabibu lenye Ukubwa zaidi ya hekali mbili na Mbunge wa jimbo la Dodoma mjini ambae pia ni waziri Wa Madini Mhe. Anthony Peter Mavunde Kwa ajili ya kujiendeleza kiuchumi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wanawake hao wametakiwa kuishi kwa upendo na kuondoa mikanganyiko katika matumizi ya shamba hilo ili waweze kunufaika. Hayo yamesemwa na Mbunge Huyo mara Baada ya kukabidhi shamba hilo.
Sambamba na hilo Mhe. Mavunde ameahidi kuwachangia wafanyabiashara hao kiasi cha pesa shilingi million 10 huku akitanguliza kiasi cha pesa shilingi million 3 ili ziwasaidie wafanyabiashara hao katika kuendeleza mradi huo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wanawake hao wametakiwa kuishi kwa upendo na kuondoa mikanganyiko katika matumizi ya shamba hilo ili waweze kunufaika. Hayo yamesemwa na Mbunge Huyo mara Baada ya kukabidhi shamba hilo.
Sambamba na hilo Mhe. Mavunde ameahidi kuwachangia wafanyabiashara hao kiasi cha pesa shilingi million 10 huku akitanguliza kiasi cha pesa shilingi million 3 ili ziwasaidie wafanyabiashara hao katika kuendeleza mradi huo.