AbouMuJahed KIpoto
Member
- Apr 22, 2019
- 12
- 8
WanaJF,
Uzi nauandika nikiwa na hofu ya misleading kubwa ktk suala hili la Katiba Mpya, ni kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwa kuwa ya sasa ina matundu makubwa sana lakini nachosikitika kuchukuilwa kwa agenda hii kama mradi wa kisiasa kwa vyama vya upinzani na waliopoteza mvuto wa kisiasa kwa miezi hii minne ya SSH kutaka kutumia hoja hii kama mtaji wao wa kisiasa
Hoja nyingine wanabodi sisi wananchi tunakurupuka ktk agenda zetu na hii inaonesha tunapandikiziwa ajenda 2020 CCM ktk ilani yao haikuwepo suala la Katiba Mpya lakini hatukupiga kelele suala la Katiba Mpya leo hii tunamshinikiza SSH alete katiba mpya
Uzi nauandika nikiwa na hofu ya misleading kubwa ktk suala hili la Katiba Mpya, ni kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwa kuwa ya sasa ina matundu makubwa sana lakini nachosikitika kuchukuilwa kwa agenda hii kama mradi wa kisiasa kwa vyama vya upinzani na waliopoteza mvuto wa kisiasa kwa miezi hii minne ya SSH kutaka kutumia hoja hii kama mtaji wao wa kisiasa
Hoja nyingine wanabodi sisi wananchi tunakurupuka ktk agenda zetu na hii inaonesha tunapandikiziwa ajenda 2020 CCM ktk ilani yao haikuwepo suala la Katiba Mpya lakini hatukupiga kelele suala la Katiba Mpya leo hii tunamshinikiza SSH alete katiba mpya