Mawakala/agents wa Safaricom waanza kupokea kichapo Nyanza

Kuwa na adabu
Tangu lini mchezesha disko mbowe akawa mfalme wetu. Tena ushike adabu yako. Nimesali sana ili nijizuie nisikitukane mkuu
Tena disko lenyewe analichezesha Ufipa lakini wachezaji wanakatika wakiwa Lumumba.[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Magufuli ni Raisi wa JMTZ wakati Odinga Mfalme wa Wajaluo kama Mbowe alivyokuwa Mfalme wa Wachaga!
Sizonje pia ni mfalme wa kanda hiyo alitokea Raila. Kama angekuwa presida wa wote asingebomoa Kimara akaacha mwanza !
 
Huyo Raila amewafanya wenzake misukule yake.
 
Vizuri sana raia wa Kenya Endelezeni harakati
Hujui chochote. Ungesema raia wa Nyanza, huku Kenya hamna cha kususia wala nini. Sasa hivi kwenye kaunti yangu watu wanapeana offer za maziwa ya Brookside utadhani ni Tusker.
 
Magufuli ni Raisi wa JMTZ wakati Odinga Mfalme wa Wajaluo kama Mbowe alivyokuwa Mfalme wa Wachaga!

Mfalme wa wachagga ni Mhe Lyatonga Mrema! Aliyekuwa Naibu Waziri mkuu wakati wa mzee Ruksa
 
Hujui chochote. Ungesema raia wa Nyanza, huku Kenya hamna cha kususia wala nini. Sasa hivi kwenye kaunti yangu watu wanapeana offer za maziwa ya Brookside utadhani ni Tusker.
hiyo brookside yenyewe ni majimaji sana,wamearibu sana.
try KCC utajionea tofauti
 
Replace the word Kenya with Nyanza and ill owe you 2 bottles of beer. Scout's promise!
Kwani Nyanza sio kenya?nyie watu aliewaroga kafa yaani upo tayari kuigawa nchi yako kisa tu hupendwi huko
 
Kwani Nyanza sio kenya?nyie watu aliewaroga kafa yaani upo tayari kuigawa nchi yako kisa tu hupendwi huko
Tumesha toka kwenye siasa sasa tuko kwenye ubabe wa kibiashara. Nyanza si Kenya ni Kavirondo. Mnawataka?
 
Siyo kweli, Mbowe akisema kitu chadema wote wanafwata, lkn usichanganye chadema na Watanzania!

Chadema ni wa msumbiji? Na mbowe alishawahi waambiwa hao wana msumbiji wasusie kampuni ya simu na wakasusa
 
Serikali ya Kenya ipige marufuku mitandao yote ya simu sehemu zote wafuasi wa NASA wanaofanyia fujo wafanyakazi wa Safaricom
 
Siasa za kenya bwana !!! ni hatari.

utakuja kushangaa hii ikawa silaha kubwa sana kwa watawala na makampuni lengwa.

Kama wana ukabila na Raila ana wapiga kura zaidi ya Million 10 + Jumlisha ndugu zao+jumlisha watoto wao + Jumlisha ukabila+jumlisha Ukanda.

Unaweza kuta Safaricom wakatafuta kazi zingine.
 
Wakatafuta kazi nyingine au wakatafute tayari? Li kampuni lenyewe ndo mapato yameshuka kwa 70% within 1 week.
 

Raila anachapa bakora/viboko wajaluo wenzake!!!!aisheee! Ero kamanoo, waswahili husema nguruwe anakula watoto wake mwenyewe!!! Unbelivable but that is the reality for Hon Raila Orengo, Anyang Babu Owino! Hii ni kwa sababu ndugu zao ndo watafukuzwa kazi au watakosa kufanya biashara kwa sababu tu ya viongozi wachache kati yao wanataka madaraka serikalini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…