Mawakala hawatoi VISA, inatoka ubalozini

Mawakala hawatoi VISA, inatoka ubalozini

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Watu wengi mnatapeliwa na madalali eti atakufanyia mchakato upate visa ya kwenda marekani kanada na ulaya. Mtapigwa sana washamba nyie, visa inatoka embassy sio kwa agent

Sasa huyo agent kama anazo visa mfukoni kwake mwambie akupe moja uende ulaya 🤣🤣🤣

Hakuna agent yoyote yule atakufanyia mchakato upate visa isipokuwa ni wewe kuwa na supportive documents kama bank statement na sababu za kwenda huko, uende high commission ukaomba visa ya kwenda nchini kwao
 
Wewe hata huelewi kitu.Kwanza kabisa Elewa maana ya Agent.Huyo ni mytu ambaye anakushauri na kukuongoza katika mchakato mzima wa kutafuta VISA.

Ww endelea kula mahindi ya kuchoma hapo huku Maajenti wakiendelea Kupiga Pesa kama Kawaida.
 
Watu wengi mnatapeliwa na madalali eti atakufanyia mchakato upate visa ya kwenda marekani kanada na ulaya. Mtapigwa sana washamba nyie, visa inatoka embassy sio kwa agent

Sasa huyo agent kama anazo visa mfukoni kwake mwambie akupe moja uende ulaya 🤣🤣🤣

Hakuna agent yoyote yule atakufanyia mchakato upate visa isipokuwa ni wewe kuwa na supportive documents kama bank statement na sababu za kwenda huko, uende high commission ukaomba visa ya kwenda nchini kwao

Wahanga wakutapeliwa ni walimu
Shemeji Walimu wamekukosea Nini????
 
Back
Top Bottom