Hahaha CCM wanajiuliza hawa watu huwa wanatoka wapi? Miaka yoote hiyo wako peke yao huwa wansema CHADEMA iliishakufa, ikifika nyakati za uchaguzi wanashangaa nyomi hilo!.
Huwa wanamdanganya SSH kuwa kesha kuwa rais, wakati wao wenyewe hawana uhakika wa nafasi zao.
Kam CHADEMA iliisha kufa basi muwe fair kwa hayo masalia ya CHADEMA ili muyashinde kwa haki, hawataki.