Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji121]
Wakuu,
Kutokana na necha ya kazi yetu ya uwakala tunatakiwa kuwa kibandani muda mwingi sana ili kusuburia wateja na kujihakikishia miamala ili bosi afurahi.
Na hivyo ni ngumu sana kupata muda wa kwenda kupiga mimsele na kupiga tongozo watoto wazuri huko kitaa.
Solution ni kuchukua namba za baadhi ya warembo kutoka kwemye simu za miamala na kuanza kupiga tongozo usiku.
Kwa upande wa huku Gongo la Mboto-Malamba mawili kwa kweli sijaambulia chochote zaidi ya kupigwa nyundo za mbavu (kukataliwa) kwa nyodo.
Vipi mawakala wenzangu mnaotumia hii mbinu kutongozea-
Ina mafanikio yoyote?
Wakuu,
Kutokana na necha ya kazi yetu ya uwakala tunatakiwa kuwa kibandani muda mwingi sana ili kusuburia wateja na kujihakikishia miamala ili bosi afurahi.
Na hivyo ni ngumu sana kupata muda wa kwenda kupiga mimsele na kupiga tongozo watoto wazuri huko kitaa.
Solution ni kuchukua namba za baadhi ya warembo kutoka kwemye simu za miamala na kuanza kupiga tongozo usiku.
Kwa upande wa huku Gongo la Mboto-Malamba mawili kwa kweli sijaambulia chochote zaidi ya kupigwa nyundo za mbavu (kukataliwa) kwa nyodo.
Vipi mawakala wenzangu mnaotumia hii mbinu kutongozea-
Ina mafanikio yoyote?