Mawakala wa mauzo Dar es salaam

Mawakala wa mauzo Dar es salaam

Mtesha

New Member
Joined
Jun 9, 2012
Posts
3
Reaction score
4
Tuma CV yako raphael.temu.platinum@gmail.com
Au whatsapp 0677032759
Mwisho wa maombi ni 22/12/2023
Screenshot_20231217-161801.png
 
Hawa jamaa wanakua sana au nini?

Haipiti miezi mitatu bila kutoa tangazo lao la watu wa mauzo.
 
Tangazo halijakamilika. Mshahara kiasi gani? Majukumu ni yapi? Acheni ujanja ujanja na utapeli
 
Ila bongo bhana! Job description hakuna af ni tangazo la kazi??!! Hata kama huna kazi usijichoshe kuapply hapa aisee
 
Back
Top Bottom