Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Heri ya Krismas na Mwaka mpya wanaJF!
Usajili wa laini kwa alama za vidole umekuwa changamoto kubwa sana miongoni mwetu hapa nchini. Kutokana na hilo watu wamekuwa wanachukua njia mbadala ili kuepuka kufungiwa laini zao.
1. Baadhi huwachukua marafiki/ndugu/jamaa wenye vitambulisho na kwenda kusajiliwa laini zao. (Usajili ni sh. 1000/=)
2. Kuna mawakala wanauza laini zilizokwishasajiliwa ambapo laini moja inauzwa elfu 5+ (Nilishuhudia kwenye mnada fulani wakala ameuza laini 20+ ndani ya nusu saa).
Je, hawa mawakala wamesajili hizo laini kwa vitambulisho vya nani?
Usajili wa laini kwa alama za vidole umekuwa changamoto kubwa sana miongoni mwetu hapa nchini. Kutokana na hilo watu wamekuwa wanachukua njia mbadala ili kuepuka kufungiwa laini zao.
1. Baadhi huwachukua marafiki/ndugu/jamaa wenye vitambulisho na kwenda kusajiliwa laini zao. (Usajili ni sh. 1000/=)
2. Kuna mawakala wanauza laini zilizokwishasajiliwa ambapo laini moja inauzwa elfu 5+ (Nilishuhudia kwenye mnada fulani wakala ameuza laini 20+ ndani ya nusu saa).
Je, hawa mawakala wamesajili hizo laini kwa vitambulisho vya nani?