Mawakili na Wanasheria mashabiki Yanga: Tutaenda Mahakamani kupinga maamuzi yoyote ya hovyo yatakayotolewa na TFF/bodi ya ligi dhidi ya Yanga

Mawakili na Wanasheria mashabiki Yanga: Tutaenda Mahakamani kupinga maamuzi yoyote ya hovyo yatakayotolewa na TFF/bodi ya ligi dhidi ya Yanga

Kommando muuza madafu

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
3,216
Reaction score
7,254
Hili ni onyo dhidi ya TFF na bodi ya League.

Tunajua mnambembeleza Eng. Hersi akubali mechi nyingine ambayo hadi sasa mmeshindwa kutoa kauli tokana na tempo ya watu kuwa juu Kwa uhuni mliofanya.

Usiku huu viongozi wetu wametoa msimamo na ni kweli hakuna Derby ya ligi kuu tena kwa msimu huu.

Barua yenu ya hairisho ya mechi ina mapungufu mengi kikanuni na kisheria. Tumeamua kwa sasa kuyafumbia macho kwani kama mawakili na wanasheria ambao ni mashabiki wa Yanga tumekubaliana na msimamo wa viongozi wetu.

Tunajua kama nchi tuna michuano ya CHAN ambayo tunaiandaa pamoja na nchi za Kenya na Uganda. Pia tuna maandalizi ya AFCON ya 2027. Tunatambua kuwa ni kosa na tutasababisha kufungiwa kujihusisha na masuala ya Soka kama tutaenda mahakamani au kuingiza siasa. Ila sisi kama mashabiki wa Yanga wenye taaluma ya Sheria pamoja na mawakili tutaenda mahakamani kupinga aina yoyote ya uonevu ambayo itatolewa dhidi ya timu yetu.

Tunajua madhara yake kama nchi ila mkishindwa kutenda haki dhidi yetu tunaenda Mahakamani na kama nchi mjue tutafungiwa na hiyo CHAN tutaisikia Redioni.

Tunalieleza hilo sasa ikiwa ni mapema ili TFF na bodi ya ligi mjue mnavyochanga karata zenu katika hilo kuna athari itakuja katika nchi. Pia enyi TFF/bodi ya ligi mnatakiwa mjue kuwa lolote mfanyalo sasa baada ya kujichanganya wenyewe lina athari pia katika usalama na amani ya nchi yetu.

Wasalaam

Mimi Wakili Msomi..........
Member wa JF.

N.B
Moderators futeni tu huu uzi ila ndio msimamo wa mawakili na wanasheria mashabiki wa Yanga.

Tunafuatilia kila kitu kwa umakini wa hali ya juu.
 
Hili ni onyo dhidi ya TFF na bodi ya League.

Tunajua mnambembeleza Eng. Hersi akubali mechi nyingine ambayo hadi sasa mmeshindwa kutoa kauli tokana na tempo ya watu kuwa juu Kwa uhuni mliofanya.

Usiku huu viongozi wetu wametoa msimamo na ni kweli hakuna Derby ya ligi kuu tena kwa msimu huu.

Barua yenu ya hairisho ya mechi ina mapungufu mengi kikanuni na kisheria. Tumeamua kwa sasa kuyafumbia macho kwani kama mawakili na wanasheria ambao ni mashabiki wa Yanga tumekubaliana na msimamo wa viongozi wetu.

Tunajua kama nchi tuna michuano ya CHAN ambayo tunaiandaa pamoja na nchi za Kenya na Uganda. Pia tuna maandalizi ya AFCON ya 2027. Tunatambua kuwa ni kosa na tutasababisha kufungiwa kujihusisha na masuala ya Soka kama tutaenda mahakamani au kuingiza siasa. Ila sisi kama mashabiki wa Yanga wenye taaluma ya Sheria pamoja na mawakili tutaenda mahakamani kupinga aina yoyote ya uonevu ambayo itatolewa dhidi ya timu yetu.

Tunajua madhara yake kama nchi ila mkishindwa kutenda haki dhidi yetu tunaenda Mahakamani na kama nchi mjue tutafungiwa na hiyo CHAN tutaisikia Redioni.

Tunalieleza hilo sasa ikiwa ni mapema ili TFF na bodi ya ligi mjue mnavyochanga karata zenu katika hilo kuna athari itakuja katika nchi. Pia enyi TFF/bodi ya ligi mnatakiwa mjue kuwa lolote mfanyalo sasa baada ya kujichanganya wenyewe lina athari pia katika usalama na amani ya nchi yetu.

Wasalaam

Mimi Wakili Msomi..........
Member wa JF.

N.B
Moderators futeni tu huu uzi ila ndio msimamo wa mawakili na wanasheria mashabiki wa Yanga.

Tunafuatilia kila kitu kwa umakini wa hali ya juu.
Nendeni Mahakamani muone cha moto toka FIFA
 
Kwa kilichotokea, hasara ya kifedha na muda watu, makampuni ya biashara nakadhalika, hakuna hatua zitakazoridhisha zaidi ya adhabu Kali na yenye maumivu kwa wakosaji.

Watu wameathirika pakubwa, kutangaza tarehe nyingine, kutamsaidia nani wakati watu washapata hasara na usumbufu mkubwa.
 
Hakuna umasikini mbaya kama Umasikini wa Fikra.

Mwalimu. Jk Nyerere
 
Ila uoga wa hii timu umepitiliza aisee! Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watengeneze tu tukio la kuwaokoa na kichapo! Na kwa kweli wamefanikiwa lengo lao.
 
Kwa kilichotokea, hasara ya kifedha na muda watu, makampuni ya biashara nakadhalika, hakuna hatua zitakazoridhisha zaidi ya adhabu Kali na yenye maumivu kwa wakosaji.

Watu wameathirika pakubwa, kutangaza tarehe nyingine, kutamsaidia nani wakati watu washapata hasara na usumbufu mkubwa.
TFF wajitafakari imetupa picha kwamba hawana weledi kwa sasa ni kama mfumo wa ndondo cup,

Viongozi wa TFF wanatakiwa wawe na elimu ya ujasiriamali, (entrepreneurship skills) wapo kama sanamu-figure heads
 
Hili ni onyo dhidi ya TFF na bodi ya League.

Tunajua mnambembeleza Eng. Hersi akubali mechi nyingine ambayo hadi sasa mmeshindwa kutoa kauli tokana na tempo ya watu kuwa juu Kwa uhuni mliofanya.

Usiku huu viongozi wetu wametoa msimamo na ni kweli hakuna Derby ya ligi kuu tena kwa msimu huu.

Barua yenu ya hairisho ya mechi ina mapungufu mengi kikanuni na kisheria. Tumeamua kwa sasa kuyafumbia macho kwani kama mawakili na wanasheria ambao ni mashabiki wa Yanga tumekubaliana na msimamo wa viongozi wetu.

Tunajua kama nchi tuna michuano ya CHAN ambayo tunaiandaa pamoja na nchi za Kenya na Uganda. Pia tuna maandalizi ya AFCON ya 2027. Tunatambua kuwa ni kosa na tutasababisha kufungiwa kujihusisha na masuala ya Soka kama tutaenda mahakamani au kuingiza siasa. Ila sisi kama mashabiki wa Yanga wenye taaluma ya Sheria pamoja na mawakili tutaenda mahakamani kupinga aina yoyote ya uonevu ambayo itatolewa dhidi ya timu yetu.

Tunajua madhara yake kama nchi ila mkishindwa kutenda haki dhidi yetu tunaenda Mahakamani na kama nchi mjue tutafungiwa na hiyo CHAN tutaisikia Redioni.

Tunalieleza hilo sasa ikiwa ni mapema ili TFF na bodi ya ligi mjue mnavyochanga karata zenu katika hilo kuna athari itakuja katika nchi. Pia enyi TFF/bodi ya ligi mnatakiwa mjue kuwa lolote mfanyalo sasa baada ya kujichanganya wenyewe lina athari pia katika usalama na amani ya nchi yetu.

Wasalaam

Mimi Wakili Msomi..........
Member wa JF.

N.B
Moderators futeni tu huu uzi ila ndio msimamo wa mawakili na wanasheria mashabiki wa Yanga.

Tunafuatilia kila kitu kwa umakini wa hali ya juu.
Kuna yeyote mwenye akili hapo awaambie waache bange jua ni kali Dar!!!😎

Kama wanataka Utopolo washuke daraja wathubutu.

Hiyo imetoka, wasubiri mechi ya derby
 
Vp 2021 nany mliogopa nn????
Muoga siku zote huwa hatokei eneo la tukio. Mechi ya 2021, Yanga walifika uwanjani kwa muda sahihi wa saa 11 jioni, badala ya ule muda wa mchongo wa saa 1!

Na ukumbuke walifanya pia na yale mazoezi utimamu wa mwili kabla ya mchezo. Baada ya kuona watoto wapendwa wa Bodi ya ligi hamtokei ndani ya muda uliopangwa kisheria, ndiyo waliondoka uwanjani.
 
Ila uoga wa hii timu umepitiliza aisee! Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watengeneze tu tukio la kuwaokoa na kichapo! Na kwa kweli wamefanikiwa lengo lao.
Acha,uzuzu na ww mtanyooshwa hamtaamini...upumbavu mlioufanya ni wa kiwango cha sgr...kama mlijua mtaifunga Simba why mjaze mabaunsa? Kwani ndo walinda mageti ya Taifa?
 
Acha,uzuzu na ww mtanyooshwa hamtaamini...upumbavu mlioufanya ni wa kiwango cha sgr...kama mlijua mtaifunga Simba why mjaze mabaunsa? Kwani ndo walinda mageti ya Taifa?
Time will tell. Mara nne mfululizo, na bado historia itaendelea kuandikwa.
 
Luc Eymael dhidi ya Mashabiki wa Yanga

"Mashabiki walikuwa wanamzomea Yikpe ili nimtoe. Mashabiki wa Yanga ni kama mambumbu, wanapiga makelele tu na kuzomea kama nyani au kubweka kama mbwa" Luc Eymael
 
Mwenye kesi ambayo iliamuliwa kwa Utopolo kushinda alete hapa
 
HAYA NENDENI SASA,MNAROPOKAROPOKA HOVYO HOVYO.YANGA INA (WANAHARISHA) NA SIO WANASHERIA
 
Back
Top Bottom