Mawakili wa serikali waomba wawe sehemu ya wajibu maombi katika kesi ya Mwabukusi dhidi ya TLS

Mawakili wa serikali waomba wawe sehemu ya wajibu maombi katika kesi ya Mwabukusi dhidi ya TLS

Mdude_Nyagali

Member
Joined
Dec 11, 2022
Posts
79
Reaction score
1,444
Tuliwaambia tangu mwanzo kwamba kuenguliwa kwa wakili Boniface Mwabukusi kulikuwa na mkono wa serikali kwa sababu kuna majizi huko serikalini ambayo hayataki Mwabukusi awe Rais wa TLS. Leo asubuhi mawakili wa serikali wanaomba ku-join kwenye kesi ya kuenguliwa kwa Mwabukusi.

Kwenye kesi hiyo wajibu maombi ni TLS lakini mawakili wa serikali wameomba ku-join ili wasaidiane na TLS dhidi ya Mwabukusi. Ndio maana tangu mwanzo tuliwajulisha kwamba majizi kutoka huko serikalini yamehusika kwa mkono wa nyuma kumkata Mwabukusi kugombea TLS.

Tutaendelea kuwapa taarifa huku mapambano yakiendelea. No Mwabukusi No Election.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.

Pia soma==>> Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS
 
Jamani nimechoka kujifanya najua. Hivi hii TLS kazi yake ni nini? Nikiri tu nimeanza kuisikia TLS enzi Tundu Lisu akigombea urais wa Society hiyo. Ila kiukweli ukiachilia mbali nyakati za chaguzi zao, sijawahi kuisikia kabisa TLS vinginevyo. Kazi ya TLS ni nini?
 
Jamani nimechoka kujifanya najua. Hivi hii TLS kazi yake ni nini? Nikiri tu nimeanza kuisikia TLS enzi Tundu Lisu akigombea urais wa Society hiyo. Ila kiukweli ukiachilia mbali nyakati za chaguzi zao, sijawahi kuisikia kabisa TLS vinginevyo. Kazi ya TLS ni nini?
Wanatoa Msaada wa kisheria
 
Hivi ni kwa nini Tundu Lissu naye asigombee ili aende kumalizia ngwe yake kama Trump anavyofanya maana wote wanafanana...?
 
TLS imeanzishwa kwa sheria, hivyo ni taasis ya umma. Ifike mahala waisajili kama NGO
 
Jamani nimechoka kujifanya najua. Hivi hii TLS kazi yake ni nini? Nikiri tu nimeanza kuisikia TLS enzi Tundu Lisu akigombea urais wa Society hiyo. Ila kiukweli ukiachilia mbali nyakati za chaguzi zao, sijawahi kuisikia kabisa TLS vinginevyo. Kazi ya TLS ni nini?
TLS ni chama cha mawakili. Kama ilivyo CWT kwa walimu.
 
Tuliwaambia tangu mwanzo kwamba kuenguliwa kwa wakili Boniface Mwabukusi kulikuwa na mkono wa serikali kwa sababu kuna majizi huko serikalini ambayo hayataki Mwabukusi awe Rais wa TLS. Leo asubuhi mawakili wa serikali wanaomba ku-join kwenye kesi ya kuenguliwa kwa Mwabukusi.

Kwenye kesi hiyo wajibu maombi ni TLS lakini mawakili wa serikali wameomba ku-join ili wasaidiane na TLS dhidi ya Mwabukusi. Ndio maana tangu mwanzo tuliwajulisha kwamba majizi kutoka huko serikalini yamehusika kwa mkono wa nyuma kumkata Mwabukusi kugombea TLS.

Tutaendelea kuwapa taarifa huku mapambano yakiendelea. No Mwabukusi No Election.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.

Pia soma==>> Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS
Uovu wowote lazima CCM ihusike
 
Jamani nimechoka kujifanya najua. Hivi hii TLS kazi yake ni nini? Nikiri tu nimeanza kuisikia TLS enzi Tundu Lisu akigombea urais wa Society hiyo. Ila kiukweli hmmukiachilia mbali nyakati za chaguzi zao, sijawahi kuisikia kabisa TLS vinginevyo. Kazi ya TLS ni nini?
Ni jumuiya ya mawakili Tanganyika,ni trade union ambayo huforesee maswala ya kisheria katika nchi.Ni ta asisi muhimu katika kutetea haki na utawala was sheria.
 
Ni jumuiya ya mawakili Tanganyika,ni trade union ambayo huforesee maswala ya kisheria katika nchi.Ni ta asisi muhimu katika kutetea haki na utawala was sheria.
Na huu ndio haswa ulikuwa msingi wa swali langu. Sijawahi ona kabisa wakitekeleza hili. Pamoja na uvunjifu mkubwa wa haki na utawala wa sheria, bado TSL utawasikia wakati wa chaguzi zao tu.
 
Wameshindwa tayari,kura zao za siri wazielekeze kwa Mwambukusi
 
Back
Top Bottom