Don Billionea
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 152
- 204
Hi Jf members..
Naomba kuuliza kuusu wavaa miwani wanaposhauriwa kubadirisha vioo baada ya muda furani.. Shida ni kwamba Lens za mawani ndio uwa zinaeExpire au tatizo la macho ndio linakuwa kubwa zaidi.. [emoji165]
Naomba kuuliza kuusu wavaa miwani wanaposhauriwa kubadirisha vioo baada ya muda furani.. Shida ni kwamba Lens za mawani ndio uwa zinaeExpire au tatizo la macho ndio linakuwa kubwa zaidi.. [emoji165]