MAWANI. [emoji165]

Don Billionea

Senior Member
Joined
Jul 15, 2018
Posts
152
Reaction score
204
Hi Jf members..
Naomba kuuliza kuusu wavaa miwani wanaposhauriwa kubadirisha vioo baada ya muda furani.. Shida ni kwamba Lens za mawani ndio uwa zinaeExpire au tatizo la macho ndio linakuwa kubwa zaidi.. [emoji165]
 
Hi Jf members..
Naomba kuuliza kuusu wavaa miwani wanaposhauriwa kubadirisha vioo baada ya muda furani.. Shida ni kwamba Lens za mawani ndio uwa zinaeExpire au tatizo la macho ndio linakuwa kubwa zaidi.. [emoji165]
Sio dakitari lakini najua inategemeana na mtu na mutu...

Kwa mfano unaweza kupima leo ukapewa lens ya -2.5 ila badaa ya mwaka ukapima ukapewa ya -3.00 ,kumaanisha tatizo limeongezeka

Ama

Ukapimwa ukapewa lens ya +1.5 na baadae ukapimwa tena ukapewa lens ya 1.00
 
Asante!
 
Yan ndio maana watu wengine hawataki kuvaa miwani
Maana kila ukipima lens inazidi
Nasikitika sana maana mimi muhanga hapa
 
Mara nyingi tatizo ni umri, unavyozidi kusonga ndivyo na tatizo linavyozidi kuongezeka..
 
Mbona nashangaa mabibi zetu waliishi maisha ya vijijini walipikia kuni lakin hawakuwa na matatizo ya macho.. Babu zangu ad wamefariki hawajawahi kuvaa mawani.. Ila saiz vijana ndio tunakumbwa na tatizo hili
 
Binafsi naona kama watu wengi matatizo ya macho yanasababishwa na kuwa exposed katika mwanga mkali kwa muda mrefu... mfano TV n.k.


Mababu na mabibi zetu enzi hizo hakukuwa na maTV labda ndio maana macho yao yalidumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…