Mkuu kama dishi la kichwa chako halijayumba basi utakuwa umeishiwa kifurushiUsipende umbea
bongo NYOSSO .......tena nyosso balaaa mumekalia majini majini ....lifungulie humu account lilete thread zake lenyewe
Maandishi hayafutikj ilinipita wapi hii.... Naona ni ya kitambo sana.... Ngoja tujumuike sasaSALAAM | SHALOM,
Natumai mu-wazima wote kwa jumla.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.
Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA.
Nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.
Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.
Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.
Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-
MTU ANAYEPANDISHA - Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.
Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ? Siku yake ni ipi ?, Anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, Jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?
Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.
Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.
Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.
Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.
By :JINN'S FRIEND | JF.
Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
Majini haya ndio yanakufànya uwe shoga au muuaji.Kwanini usimwambie Mungu akujaze Roho wake ili kwamba akusaidie ktk kutenda mema na mwisho wa siku ukaingia ktk uzima wa milele?
Mwisho wa kufuga Jini au Majini ni upi? Ni Jehanum.
Wamejiripua bongo , huku ni rahisi kupata ukimbizi 😛😛😛Kwani majini wapo bongo tu pekee ndugu...?.
Kasome biblia yako vizuri kama unayo utanielewa.Otherwise ni hata nikikueleza hutanielewa.Soma post zangu kuna mambo nimehighlight sasa ziwezi kuwa narudi nyuma nishaelezea.
Acha ushirikina wewe JINI atakusaidia nini wewe au atakufundisha niniSALAAM | SHALOM,
Natumai mu-wazima wote kwa jumla.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.
Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA.
Nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.
Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.
Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.
Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-
MTU ANAYEPANDISHA - Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.
Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ? Siku yake ni ipi ?, Anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, Jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?
Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.
Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.
Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.
Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.
By :JINN'S FRIEND | JF.
Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
Na kama haukubali kuwa wao ni viumbe dhaifu angalia wanapo ishi wewe mwenyewe umeandika hapoSALAAM | SHALOM,
Natumai mu-wazima wote kwa jumla.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.
Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA.
Nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.
Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.
Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.
Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-
MTU ANAYEPANDISHA - Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.
Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ? Siku yake ni ipi ?, Anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, Jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?
Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.
Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.
Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.
Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.
By :JINN'S FRIEND | JF.
Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
SALAAM | SHALOM,Wakati huo ww unatoka nduki
Natumai mu-wazima wote kwa jumla.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.
Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA.
Nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.
Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.
Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.
Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-
MTU ANAYEPANDISHA - Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.
Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ? Siku yake ni ipi ?, Anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, Jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?
Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.
Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.
Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.
Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.
By :JINN'S FRIEND | JF.
Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
Huna akili wwAcha ushirikina wewe JINI atakusaidia nini wewe au atakufundisha nini
JINI ni kiumbe tu kama wewe tena wewe upo juu zaidi ya JINI kwa maneno ya mwenyezi mungu kwa sababu sisi ndio makharifa wa dunia
Na mungu anavyo walani watu kama nyinyi mnaodhani kuwa kuna kitu JINI anaweza akakusaidia katika dunia hii mnakuaga na hali ngumu hata kula yenu shida
Hapo utaongea mwisho washirikina wenzako wakitaka uwasaidie waonane na hayo majini utawambia wakupe pesa kwa nini usiwambie hao majini wakachukue benki wakuletee
Na ndio maana mungu ametufanya tusiwaone maana washirikina kama wewe mngewasujudia wakati wao ni viumbe dhaifu kuliko binadamu
Kwan hao majini Nani kawaaumbaKwanini usimwambie Mungu akujaze Roho wake ili kwamba akusaidie ktk kutenda mema na mwisho wa siku ukaingia ktk uzima wa milele?
Mwisho wa kufuga Jini au Majini ni upi? Ni Jehanum.
Hujakosea kiongozi wangu upo sahihi kabisa mkuu.Maandishi hayafutikj
Ni kweli ya kitambo mkuu ila haijakupita kiongozi.ilinipita wapi hii.... Naona ni ya kitambo sana....
Vyema kabisa karibu sana kiongozi. Respect.Ngoja tujumuike sasa