DOKEZO Mawasiliano na TAKUKURU

DOKEZO Mawasiliano na TAKUKURU

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Babu Ochu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2021
Posts
844
Reaction score
1,469
Mtaani kwetu Manzese kuna tatizo kubwa la rushwa.

Yawezekana wengine mkaliona dogo lakini kwa watu wa chini ni maumivu makubwa iko hivi.

Kila mwezi kwenye baadhi ya serikali za mitaa ya kata ya Manzese anakuja mgambo ajiitaye afisa mazingira, na kazi yake kwa kushirikiana watendaji wa mitaa kukusanya fedha za uchafuzi wa mazingira na hawatoi risiti.

Wakikuta alama za maji mlangoni kwako wanakupeleka ofisi za serikali ya mitaa na kwa kitisho Cha kulipishwa elfu hamsini wana kulazimisha "kuwapooza" kwa elfu ishirini hadi arubaini bila risiti.

Mhusika mkuu ni mlevi maarufu Sandton bar.

Sasa simu ya Takukuru 113 haifanyikazi , simu zao hazipokelewi na hata e mail yao haifanyi kazi
Msaada kwa anaye jua mawasiliano yao na tufanyaje kwani hii Ni tozo la Kila mwezi na hata asie husika hubambikiwa
 
Mzanzibar kafungungua nchi na kuruhusu Kila "mbuzi" kula sawa na urefu wa kamba yake, mkuu wewe kamba yako ina urefu gani? Takukuru wenyewe wala rushwa wakubwa (ushahidi ninao)

Nchi imeishafunguliwa hii, nawewe tafuta mnyonge wako umpige! .
 
Mtaani kwetu Manzese kuna tatizo kubwa la rushwa
Yawezekana wengine mkaliona dogo lakini kwa watu wa chini ni maumivu makubwa iko hivi.
Kila mwezi kwenye baadhi ya serikali za mitaa ya kata ya Manzese anakuja mgambo ajiitaye afisa mazingira, na kazi yake kwa kushirikiana wstendaji wa mitaa kukusanya fedha za uchafuzi wa mazingira na hawatoi risiti.
Wakikuta alama za maji mlangoni kwako wanakupela ofisi za serikali ya mitaa na kwa kitisho Cha kulipishwa elfu hamsini wana kulazimisha "kuwapooza" kwa elfu ishirini hadi arubaini bila risiti
Mhusika mkuu ni mlevi maarufu Sandton bar
Sasa simu ya Takukuru 113 haifanyikazi , simu zao hazipokelewi na hata e mail yao haifanyi kazi
Msaada kwa anaye jua mawasiliano yao na tufanyaje kwani hii Ni tozo la Kila mwezi na hata
 
Tatizo Sisi wabongo hatujuwi sheria ndio mana tunatapeliwa sana sasa Kama nimepanga nyumba haina chumba za kumwaga maji ndani nimwage wapi Kama sio njee hizi ni kesi za kuwarushia wenye nyumba ili wajengne chemba sii tunakupa kodi zao
 
Wakikukamata kataa mfikishane polisi ili wakatoe ufafanuzi kwanini hawatoi receipt za malipo nakuhakikishia hawataweza kukupeleka watakuachia na mtaa mzima ukijua hili hiyo tabia itakufa.

Nina experience na haya mambo.
 
Mtaani kwetu Manzese kuna tatizo kubwa la rushwa
Yawezekana wengine mkaliona dogo lakini kwa watu wa chini ni maumivu makubwa iko hivi.
Kila mwezi kwenye baadhi ya serikali za mitaa ya kata ya Manzese anakuja mgambo ajiitaye afisa mazingira, na kazi yake kwa kushirikiana wstendaji wa mitaa kukusanya fedha za uchafuzi wa mazingira na hawatoi risiti.
Wakikuta alama za maji mlangoni kwako wanakupela ofisi za serikali ya mitaa na kwa kitisho Cha kulipishwa elfu hamsini wana kulazimisha "kuwapooza" kwa elfu ishirini hadi arubaini bila risiti
Mhusika mkuu ni mlevi maarufu Sandton bar
Sasa simu ya Takukuru 113 haifanyikazi , simu zao hazipokelewi na hata e mail yao haifanyi kazi
Msaada kwa anaye jua mawasiliano yao na tufanyaje kwani hii Ni tozo la Kila mwezi na hata asie husika hubambikiwa
+255 754 445 184
Selemani - Mkuu wa Takukuru Kinondoni
 
Back
Top Bottom