KERO Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili?

KERO Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Bufa

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
12,599
Reaction score
26,263
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo.

Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka kwenye webstise yao, +255 26 239 2363, haipatikani. To make it even worse inasema haijalipiwa bill hivyo imekatwa. Yani STAMICO taasisi ya serikali inashindwa kulipia bill ya simu yao? Hadi hili mnataka Rais alisemee?

Nikaamua kuwatumia email na msg kwenye page zao za kwenye mitandao ya kijamii. Msg zimekuwa delivered and seen ila hawajibu. Hii nchi ni nani kawaroga? Raisi anapambana kufungua nchi ila hizi ofisi ni jipu.

Solution: Rais na wizara husika outsource customer service ya ofisi zote za umma, haya malalamiko yanatolewa kila siku ila miwatu huko ofisini haijali. Wapeni vijana kazi, kazi yao iwe ni kupokea simu na kujibu emails za watu. Mtu mmoja akipewa elimu ya kutosha juu ya kampuni fulani na utendaji wao anaweza hudumia hata makampuni 10 tena from home akipewa vitendea kazi tu. India hata hapo Kenya kuna call center zinapokea simu toka USA kujibu maswali ya wateja 24/7. Nini kinawashinda nyie kufanya hivi? Sio lazima calls ziende India hii kazi inaweza kufanywa na vijana wa kitanzania mkiwapa nafasi maana nyie ni dhahiri imewashinda.

Capture.PNG
 
Hili ni tatizo la nchi nzima tangu ngazi za juu hadi ngazi za chini. Baadhi ya ofisi ukienda kupatiwa huduma , hata wao kwa wao hawana mawasiliano ya moja kwa moja.

Kwa ufupi ni bado tupo analojia
 
Ni kote hata private, niliwahi chukua namba kwenye website ya chuo fulan tena nikapiga akapokea mdada hata hajui kinachorndelea,
Kuna namba zipo hawazimiliki na wapo tu
 
Kila kitu ni swala la Rais? Hakuna Idara au viongozi specific wa maeneo husika?

By the way kwanza Huwa hawafanyi updates ya taarifa zao kwenye websites,hawajibu emails Kwa wakati au hawajibu kabisa nk

Sifa zote mnataka apewe Rais lawama apewe nani? BTW sijasema ni swala la rais bali nimeuliza Rais anajua madudu yanayoendelea kwenye hizi taasisi? Yeye anapambana kuvuta wawekezaji ila anakwambishwa na watu wake. Nani atawawajibisha?
 
Ni kote hata private, niliwahi chukua namba kwenye website ya chuo fulan tena nikapiga akapokea mdada hata hajui kinachorndelea,
Kuna namba zipo hawazimiliki na wapo tu

Uzembe wa hali ya juu. Sijui wanategemea mtu unapataje mawasiliano nao. Nchi imeoza hii.
 
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo.

Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka kwenye webstise yao, +255 26 239 2363, haipatikani. To make it even worse inasema haijalipiwa bill hivyo imekatwa. Yani STAMICO taasisi ya serikali inashindwa kulipia bill ya simu yao? Hadi hili mnataka Rais alisemee?

Nikaamua kuwatumia email na msg kwenye page zao za kwenye mitandao ya kijamii. Msg zimekuwa delivered and seen ila hawajibu. Hii nchi ni nani kawaroga? Raisi anapambana kufungua nchi ila hizi ofisi ni jipu.

Solution: Rais na wizara husika outsource customer service ya ofisi zote za umma, haya malalamiko yanatolewa kila siku ila miwatu huko ofisini haijali. Wapeni vijana kazi, kazi yao iwe ni kupokea simu na kujibu emails za watu. Mtu mmoja akipewa elimu ya kutosha juu ya kampuni fulani na utendaji wao anaweza hudumia hata makampuni 10 tena from home akipewa vitendea kazi tu. India hata hapo Kenya kuna call center zinapokea simu toka USA kujibu maswali ya wateja 24/7. Nini kinawashinda nyie kufanya hivi? Sio lazima calls ziende India hii kazi inaweza kufanywa na vijana wa kitanzania mkiwapa nafasi maana nyie ni dhahiri imewashinda.

View attachment 3082834
Solution: Mfumo wa uongozi wa nchi yetu unatakiwa ufumuliwe wote na tusuke mfumo unaotoa nguvu kwa wananchi na siyo rais. Solution yako nakuhakikishia haitafanya kazi kwa sababu tatizo siyo umri wa wafanyakazi. Tena hao vijana ndiyo balaa zaidi. Halafu tutabinafsisha vitu vingapi? Mbona kila kitu kinaishinda serikali?
 
Hakuna mawasiliano unaweza kupata kupitia emails,au simu kwenye taasisi za umme NEVER...............wakati last week nilikuwa na shida na namba ya Jubilee insurance,nikachukua namba yao kwenye website,nikaibeep kuona kama inapatikana,fasta sana nikapigiwa
 
Hakuna mawasiliano unaweza kupata kupitia emails,au simu kwenye taasisi za umme NEVER...............wakati last week nilikuwa na shida na namba ya Jubilee insurance,nikachukua namba yao kwenye website,nikaibeep kuona kama inapatikana,fasta sana nikapigiwa

Haya ndo mambo. Baadhi ya sekta binafsi wanajua umuhimu wa customer service unabeep tu wanaruka hewani. Hizi taasisi za serikali ni uozo mtupu.
 
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo.

Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka kwenye webstise yao, +255 26 239 2363, haipatikani. To make it even worse inasema haijalipiwa bill hivyo imekatwa. Yani STAMICO taasisi ya serikali inashindwa kulipia bill ya simu yao? Hadi hili mnataka Rais alisemee?

Nikaamua kuwatumia email na msg kwenye page zao za kwenye mitandao ya kijamii. Msg zimekuwa delivered and seen ila hawajibu. Hii nchi ni nani kawaroga? Raisi anapambana kufungua nchi ila hizi ofisi ni jipu.

Solution: Rais na wizara husika outsource customer service ya ofisi zote za umma, haya malalamiko yanatolewa kila siku ila miwatu huko ofisini haijali. Wapeni vijana kazi, kazi yao iwe ni kupokea simu na kujibu emails za watu. Mtu mmoja akipewa elimu ya kutosha juu ya kampuni fulani na utendaji wao anaweza hudumia hata makampuni 10 tena from home akipewa vitendea kazi tu. India hata hapo Kenya kuna call center zinapokea simu toka USA kujibu maswali ya wateja 24/7. Nini kinawashinda nyie kufanya hivi? Sio lazima calls ziende India hii kazi inaweza kufanywa na vijana wa kitanzania mkiwapa nafasi maana nyie ni dhahiri imewashinda.

View attachment 3082834
Mwenyewe tu ni Chura kiziwi. Huko wizarani vipi?
 
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo.

Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka kwenye webstise yao, +255 26 239 2363, haipatikani. To make it even worse inasema haijalipiwa bill hivyo imekatwa. Yani STAMICO taasisi ya serikali inashindwa kulipia bill ya simu yao? Hadi hili mnataka Rais alisemee?

Nikaamua kuwatumia email na msg kwenye page zao za kwenye mitandao ya kijamii. Msg zimekuwa delivered and seen ila hawajibu. Hii nchi ni nani kawaroga? Raisi anapambana kufungua nchi ila hizi ofisi ni jipu.

Solution: Rais na wizara husika outsource customer service ya ofisi zote za umma, haya malalamiko yanatolewa kila siku ila miwatu huko ofisini haijali. Wapeni vijana kazi, kazi yao iwe ni kupokea simu na kujibu emails za watu. Mtu mmoja akipewa elimu ya kutosha juu ya kampuni fulani na utendaji wao anaweza hudumia hata makampuni 10 tena from home akipewa vitendea kazi tu. India hata hapo Kenya kuna call center zinapokea simu toka USA kujibu maswali ya wateja 24/7. Nini kinawashinda nyie kufanya hivi? Sio lazima calls ziende India hii kazi inaweza kufanywa na vijana wa kitanzania mkiwapa nafasi maana nyie ni dhahiri imewashinda.

View attachment 3082834
Ni ofisi nyingi hazijalipa bills za TTCL
 
Solution: Mfumo wa uongozi wa nchi yetu unatakiwa ufumuliwe wote na tusuke mfumo unaotoa nguvu kwa wananchi na siyo rais. Solution yako nakuhakikishia haitafanya kazi kwa sababu tatizo siyo umri wa wafanyakazi. Tena hao vijana ndiyo balaa zaidi. Halafu tutabinafsisha vitu vingapi? Mbona kila kitu kinaishinda serikali?

Long term solution: Kuwapa wananchi nguvu
Short term: Outsource customer care. Hii ishu rahisi tu. Wabongo wakishindwa peleka Kenya hapo watu wanapokea simu 24/7.

Ukiwa USA ukipiga simu kwa service provider wako wa simu, maji, umeme, TV, insurance or anything more often than not anayepokea simu yupo India. Anakupa maelekezo yote unayohitaji na wanapokea masaa yote. Mtu huyo huyo unakuta anapokea simu za makampuni tofauti tofauti.

Kama serikali imewashinda private sekta inaweza hili.
 
Mawasiliano ofisi za umma ni changamoto sijui kama Rais analijua hili. Simu zao hazipatikani kabisa na kama zinapatikana hazipokelewi wala hawajibu emails. Hili ni gonjwa sugu ofisi za umma karibu zote bongo.

Jana niliingia website ya STAMICO kutafuta contact info zao cha ajabu namba waliyoweka kwenye webstise yao, +255 26 239 2363, haipatikani. To make it even worse inasema haijalipiwa bill hivyo imekatwa. Yani STAMICO taasisi ya serikali inashindwa kulipia bill ya simu yao? Hadi hili mnataka Rais alisemee?

Nikaamua kuwatumia email na msg kwenye page zao za kwenye mitandao ya kijamii. Msg zimekuwa delivered and seen ila hawajibu. Hii nchi ni nani kawaroga? Raisi anapambana kufungua nchi ila hizi ofisi ni jipu.

Solution: Rais na wizara husika outsource customer service ya ofisi zote za umma, haya malalamiko yanatolewa kila siku ila miwatu huko ofisini haijali. Wapeni vijana kazi, kazi yao iwe ni kupokea simu na kujibu emails za watu. Mtu mmoja akipewa elimu ya kutosha juu ya kampuni fulani na utendaji wao anaweza hudumia hata makampuni 10 tena from home akipewa vitendea kazi tu. India hata hapo Kenya kuna call center zinapokea simu toka USA kujibu maswali ya wateja 24/7. Nini kinawashinda nyie kufanya hivi? Sio lazima calls ziende India hii kazi inaweza kufanywa na vijana wa kitanzania mkiwapa nafasi maana nyie ni dhahiri imewashinda.

View attachment 3082834
Rais anajua, na Viongozi wote wanajua...!

Usitegemee Mabadiriko, tatizo halikuanza Leo.
 
Back
Top Bottom