Mawasiliano ya Dkt. Kuboja

Mawasiliano ya Dkt. Kuboja

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Wakuu habari

Ninaomba mwenye mawasiliano na Dkt. Kuboja aliyekuwa anatibu Muhimbili na part time Agakhan na TMJ.

Pia naomba kujua kama bado weekend anapatikana Aga Khan au vipi.

Ni dharura kubwa.
 
Wakuu habari

Mods naomba msiutoe huu uzi hapa ili nipate msada haraka.

Ninaomba mwenye mawasiliano na Dr kuboja aliyekuwa anatibu muhimbili na part time agakhan na tmj.

Pia naomba kujua kama bado week end anapatikana agakhan au vipi.

Ni dharura kubwa.
Mkuu naimani utapata Mwongozo.
 
Wakuu habari

Mods naomba msiutoe huu uzi hapa ili nipate msada haraka.

Ninaomba mwenye mawasiliano na Dr kuboja aliyekuwa anatibu muhimbili na part time agakhan na tmj.

Pia naomba kujua kama bado week end anapatikana agakhan au vipi.

Ni dharura kubwa.
Check out your PM
 
Nadhani yuko aga khan week ends
Kama ishu ya mtoto ukimkosa nenda kwa dr.hassanali kisutu street,all shall be well ukifika hapo
 
This iz jf. The the greatest
 
Back
Top Bottom