Mawasiliano ya Mfuko wa Taifa wa Pension kwa Wastaafu

Mawasiliano ya Mfuko wa Taifa wa Pension kwa Wastaafu

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Habari zenu wakuu?

Kwa heshima na taadhima ninaomba mnisaidie namna ninaweza kuwasiliana na makao makuu ya Mfuko wa Mafao ya Kistaafu wa Umma -PSSSF

Nimejaribu kuangalia contacts zao online sijapata cha kueleweka zaidi ya ofisi za mikoa tu.

Kuna mzee wangu amekwama kupata mafao yake kwa mda mrefu tangu astaafu ameomba nimsaidie ili ajaribu kufwatilia nini kinamkwamisha maana ni mda mrefu sasa ofisi ya mkoa inampatia majibu yasiyoeleweka.
 
Pssf Ni wasumbufu jaman sijapata ona ,kwanza dharau pil wanahudumia mteja akijisikia.
Nssf jaman Ile ofisi wamejawa na nidham ya Hal ya juu mafao wanatoa fasta, Ila pssf mh kunahitaj iundwe upya
 
Mara anayehusika na calculations ndo tatizo...file linakaa meazani kwa mtu mmoja miezi 4 kwelii??? Hata pension tu ya mwezi hajapata tangia
Hii serikali naweza andika vibaya nkatafutwa na wasioonekana
 
Habari zenu wakuu?

Kwa heshima na taadhima ninaomba mnisaidie namna ninaweza kuwasiliana na makao makuu ya Mfuko wa Mafao ya Kistaafu wa Umma -PSPF (sijui nitakuwa sahihi kwa kifupi chake).

Nimejaribu kuangalia contacts zao online sijapata cha kueleweka zaidi ya ofisi za mikoa tu.

Kuna mzee wangu amekwama kupata mafao yake kwa mda mrefu tangu astaafu ameomba nimsaidie ili ajaribu kufwatilia nini kinamkwamisha maana ni mda mrefu sasa ofisi ya mkoa inampatia majibu yasiyoeleweka.
Wale hawapokei simu.

Muhimu nenda kwenye ofisi za PSSSF huko ndani ndio utawakuta hao PSPF
 
Pole, unataka mawasiliano ya ofisi gani?
Ni PSSSF Ikiwezekana hata boss wao mkuu.
Au mtu yeyote anayeweza kuwa wa msaada maana ni ishu ya kujua document ziko kwenye stage gani so far
 
Nchi hii ni ngumu sana kwenye swala la kulipa hela.

Hata hela zako mwenyewe ukizitunza benk siku ukifariki watoto wako watazungushwaa sana kulipwa hizo hela zaidi ya mwaka
 
Mara anayehusika na calculations ndo tatizo...file linakaa meazani kwa mtu mmoja miezi 4 kwelii??? Hata pension tu ya mwezi hajapata tangia
Hii serikali naweza andika vibaya nkatafutwa na wasioonekana
Nchi ya hovyo hii
 
Mara anayehusika na calculations ndo tatizo...file linakaa meazani kwa mtu mmoja miezi 4 kwelii??? Hata pension tu ya mwezi hajapata tangia
Hii serikali naweza andika vibaya nkatafutwa na wasioonekana
Umenena vyema. Mwaka wa saba huu bado Baba yangu anahangaika kufuatilia mapunjo ya pensheni ya mwezi na malipo ya mkupuo. Majibu anayopewa ni kwamba anayehusika na calculations bado hajalifanyia kazi faili lake. Yaani karne hii ya 21 pamoja na kompyuta kibao ofisini hapo wanashindwa kukokotoa hesabu nyepesi kiasi hicho. Baba anayo kompyuta mpakato yake aliyoinunua mwaka 1999 (karne ya 20) ambayo ina kile kikokotoo cha iliyokuwa PPF. Akiingiza namba zinazohitajika jibu linatoka ndani ya nusu sekunde. Iweje hawa wenye kompyuta za kisasa kabisa washindwe kupata jibu hilo kwa kipindi cha miaka sita!! Kiukweli ninyi PSSSSSF, Mungu anawaona mnavyowatesa wazee wetu.
 
0800110040 na 0800110050 wakipokea ushukuru Mungu.

Na kama una presha usipige hayo majibu yao lazima uchangiwe matibabu kitaifa.
 
Back
Top Bottom