mawasiliano ni moja ya njia ya kudumisha mapenzi kwa sababu mawasiliano yanaleta ukaribu zaidi na inaonyesha hisia ni jinsi gani unavyomjali na kumpenda kuliko vle unavyokaa kimya bila ya mawasiliano na mpz wako inaonyesha huna ata hamu nae na hauna upendo kwake.
KWA mtazamo wangu, mimi siamini kabisa katika phone communication in love afears. Most of the time we cheat trough phones, i believe in faithfulness, gift and surprise, praise her and meet all her needs, also same way can be applied to women.