Mawasiliano.....!

kusema ukwel huwa inahudhi mana unaweza ukawa na hamu na mtu alafu ukakutana na matatzo kama hayo na asikupe sababu alafu ukichek ndo umekutwa na shida kama hii kwakwel inaniudh sana hiki kitendo alafu unashindwa kumuelewa je anaakil timamu au makusudi mana sijui anakuwa na maana gani ila tabia hii na kufanyiana hv hushusha hamu ya kimapenz na husababisha mtu kuanza kufikiria vingne. Labda huwa ninasema hawajui nini maana ya mawasiliano
 
hahaha! Hujui huku mpwapwa ndio kwake. We ng'aa sharubu tu.
Huyo kwenye vinyota ndio nani?

heheeh nimenyoa style ya mugabe bana! Huyo kwenye vinyota si ndo anaekuweka mpwapwa au mshalambana vibuti wakwale tutume CV?

Bek to ze topik: at least leo umeongea la maana tangia ujiunge JF, kweli bana txt is the best of the best.
 

mama ulizozitaja ukasema hutaki nami nazichukia hivo hivo. Sanasana wapenzi, unakuta mpenzi wako ana4wad msg fulan aliyoiokota sehem akijifanya anataka kukufurahisha,,, kwa nini usiandike maneno yako mwenyewe lakin unaforwad tu?
Kwa nin uchukue sim yangu na kuanza kuikagua wkt haikuhusu?
Haya ni baadhi tu, cha muhimu hapa tunaelekezana, ukishaona umekengeuka JIREKEBISHE.
 

He he he eheh
Leo umeamua kujishushua mwenyewe
 

I remember you once did this to me!!! kweli nyani....
 
He he he eheh
Leo umeamua kujishushua mwenyewe

Hahahha...bora najijua!!Ila namba kumi hainihusu hata kidogo....

Naona na wewe unaprefer text kama Hus..nipe namba yako nikutext sasa hivi ufurahi!
 
Sipendi wanaonunua line mpya instead of kukutext au kukupigia wakakuambia namba zao mpya wao wanabeep tu ili mimi nipige waniambie...agghrrrrrrr!
Pia sipendi mtu hujui namba yakeanaku2mia sms ya kukuomba umpunguzie salio.....They make me :sick:
 
Sipendi wanaonunua line mpya instead of kukutext au kukupigia wakakuambia namba zao mpya wao wanabeep tu ili mimi nipige waniambie...agghrrrrrrr!
Pia sipendi mtu hujui namba yakeanaku2mia sms ya kukuomba umpunguzie salio.....They make me :sick:

Hili la kupunguziana salio lisingekuwepo ingekua poa sana...zile msg hua zinaboa sana!
Alafu watu wengine ukishawapunguzia wanakubeep upige wakwambie ASANTE!!
 
Hili la kupunguziana salio lisingekuwepo ingekua poa sana...zile msg hua zinaboa sana!
Alafu watu wengine ukishawapunguzia wanakubeep upige wakwambie ASANTE!!
heheehe Lizzy bana, acha nikae kimya tu, leo ubongo wangu uko holidei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…