Rais gani anaweka kikao mpwapwa? si useme tu kama unamcheat *figganigga* bana. mia
hahaha! Hujui huku mpwapwa ndio kwake. We ng'aa sharubu tu.
Huyo kwenye vinyota ndio nani?
<br />Hutegemea context na mada ilioko inbox na imetoka kwanani.
<br />
<br />
Haijalishi SIPENDI SMS KATU
<br />Denaaaa...! Basi we utakuwa ni Hater tu without health reasons.
<br />Denaaaa...! Basi we utakuwa ni Hater tu without health reasons.
<br />
<br />
I am a woman with principle right??
Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
<br />I'm a man with principles and philosophy pa ndio usiseme hapana utasababisha SHOCK..!
Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
Zote hizo zinanikera ila binafsi napenda mtu anitumie msg kuliko anipigie. Sipendi kuongea ongea na simu.
Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
:A S 103::A S 103:He he he eheh
Leo umeamua kujishushua mwenyewe
.............haoni kundule....l.o.lI remember you once did this to me!!! kweli nyani....
Sipendi wanaonunua line mpya instead of kukutext au kukupigia wakakuambia namba zao mpya wao wanabeep tu ili mimi nipige waniambie...agghrrrrrrr!
Pia sipendi mtu hujui namba yakeanaku2mia sms ya kukuomba umpunguzie salio.....They make me :sick:
heheehe Lizzy bana, acha nikae kimya tu, leo ubongo wangu uko holideiHili la kupunguziana salio lisingekuwepo ingekua poa sana...zile msg hua zinaboa sana!
Alafu watu wengine ukishawapunguzia wanakubeep upige wakwambie ASANTE!!