Mawaziri Kenya waanza mgomo

Peter Keneth, Kenya's Obama, thts what some people say.

Hahahaha!!!.... Bro wewe kweli kwa kupiga debe sikuwezi aisee.

Nikifika jiji lazima tunywe Tusker kisha uniambie hii kitu vizuri....😀

I'm hearing rumors about him and they are all positive. I'd take him over Uhuru
Kenyatta any day.As they say "he has a clean eye".

One.
 
Meanwhile I have a question for Smatta na Hellfire et al,

Where is Kalonzo Musyoka in all this? To me his silence is funny( no pun intended)
The man was a sycophant in the Moi days na by now angekua keshafoka moshi
kinomanoma.

Mr Vice-President will you please stand up.
 

Mundu,

Coalitons na wezi will never work in Africa. Kibaki aliiba kura za '07 na kuapishwa
chini ya wingu la giza na nchi ikalipuka. Yaliofuata ni haya ya nipe nikupe
lakini tangia mwanzo ilikua wazi Kibaki kampa Raila mkia na kumwambie
eti 'pia mkia ni nyama'. Kwa sasa hii ishu ya kupiga vita ufisadi nd'o inafanya
watu wajue hali halisi. Jama bado ameshikilia sehemu nyeti za nchi na wezi wake
wanachuma mali ya uma. Akiambiwa awatendee haki raia wake, anajifanye
kutetea wahuni.

Ukienda Zimbabwe mambo ni hayo hayo na Nguli Mugabe kakataa kuwasikiliza
MDC japo inajulikana wazi kua alishindwa kura.

Kwa ufupi tumeanzisha a very bad precedent na usishangae pia ikitokea Tanzania
na jamaa akishindwa aseme siondoki mpaka kuwepo serikali ya mseto. That is
what Annan na wenziwe did in Kenya's scenario na wapo maraisi wengi wahuni
wataiga hii kitu.

Kaazi kweli kweli.
 


Mkuu hapa umenena,umechambua vizuri sana.

Mama ana mdomo mchafu sana.Pia najua still kibaki anamfikiria uhuru but hapo central itakua vita ingine ya power na influence coz najua hata akian John Michuki one of the master minders wa wizi wa 2007 atampa support Uhuru.

Na ishu ikiwa kama ulivyosema basi mama atakua anakufa kisiasa.Unless kuwe na kambi nyingine ambayo ni strong itakayotokana na kugawanyika PNU au ODM iweze kumu-accomodate but inabidi hiyo kambi iwe na possibility za kushinda urais.

About Peter pia kama ulivyosema ni mtu mwenye upeo.Aisee umenikumbusha Gor mahia,sijui hii timu iko wapi tena siku hizi manake ilikua ni kiboko.walikuja mathare utd,Mumias,Nzoia,tusker Fc na sasa wana SOFAPAKA..

But kwa mkikuyu pia kuwa ktk hiyo club ya wajakaa si mchezo coz enzi hizo kenya ndo ilikua imeathiriwa kweli kweli na ukabila.

Anyway,Raila sasa anastahili kuwa very strategic..kitu namkubali anajua kufanya political navigation kwa uwezo wa ajabu.Nguvu za kisiasa za huyu jamaa haziwezi kuzimwa na watu kama akina Ruto au Kibaki

Raila atakapotoka katika siasa ya Kenya haitakua interesting tena,he's a man of reform.Pia nadhani ana some traits za kuwa critic sana
 


Mkuu,

Nimeuliza hadi nimechoka..jama ni kama vile hayupo.

Mimi Kalonzo stephen musyoka namuona ni sawa na Jakaya Mrisho kikwete wa Tanzania.These two guys wana kitu kimoja wanafanana sana,wakati wa crisis wanakakaa kimya kupima upepo halafu wanakuja kuibuka last minute na kuchukua credits.

Kalonzo ni biting snake.sasa hapo nadhani anafanya political calculations zake na si ajabu 2012 akawa frontliner wa PNU au akitoswa kama kawaida yake ataanzisha chama chake ambacho kitaiba ajenda ,logo na sifa za vyama vya akiana uhuru na Raila ,na sasa hapa ndipo ninakosema kama huko nyuma kwamba hapa ataingia Martha Karua wakiwa na mawazo kwamba wata-win kura za wakikuyu wachache na wanawake.lol
 
Jamani huyu Jaluo mimi na-maindi kinoma. Kaelekea Japani na bado anashikilia bango pale pale...The Ministers have to step aside!!!

Kisha kasema alim-consult Kibaki and he told him he was ready to take the flak...YOU GO BWANA RAILA ODINGA...
Hebu tazameni hii video wakuu:

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=0x5qJFxKmBA&feature=player_embedded[/ame]
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=LA6ZV_G8Mvo&feature=channel[/ame]
 
Huyu jama ni moto wa kuotea mbali,sidhani kama watamuweza.
Sasa maslahi ya wananchi yawe ktk centre stage
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=cE-sYhG4GzY&feature=channel[/ame]
 
I wish we had at least one Raila in TZ or even a .'half, of him!!
 
Huyu jama ni moto wa kuotea mbali,sidhani kama watamuweza.
Sasa maslahi ya wananchi yawe ktk centre stage

Bongo inahitaji mtu kama huyu. Unasema kitu kiukweli kuhusu maslahi ya
wananchi, kisha unashikilia bango palepale. Sijui ni uoga ama ni njaa za watu jamani.

Nd'o hapo sasa unasikia eti 'tumelogwa'.
 
eti ethinic tension? mambo ya ajabu kabisa haya,hawa wananchi watakaoingia mtaani kukatana mapanga huku pesa zilizoibiwa hazina kabila,waache tuu wakatane mapanga wamalizane wenyewe, watakuwa wamesaidia kupunguza idadi ya wapuuzi wanaofanya maisha ya wengine magumu kwa hizo siasa zao chafu zinazoangalia kabila....sometimes is a blessing kwa washenzi kama hawa kumalizana wenyewe kwa wenyewe.
 

Mkubwa
Based on our experience msiba kwa jirani msiba kwako, nadhani bado ya Rwanda na Burundi na jinsi gani yameturudisha nyuma kimaendeleo na kuathiri mambo mengi tu hadi leo ni vitu ambavyo ni more obviuos kwa mm&ww kutambua hayo.
BTW: Sioni watanzania tukiwa ktk safe side ktk hili, kwa hali halisi ya mambo hivi sasa huu 'upole' na 'ukarimu' wa wa-Tz, siuoni ukichukua miongo kadhaa ktk solitary state of affair ya hivi sasa. Kama wahenga walivyo nena; Ukiona mwenzio ananyolewa, wewe......................'
One Love!
 
Thanks man,

I can't agree more.
 


If the truth were to be told,you lack some traits of humanity.
 
Singo maarufu sana hii kwa Kenya. Power sharing kwa viongozi wetu hawa ni majaribio ambayo hakuna mtu atakayetumia matokeo yake. Daima dumu mzigo utarudi kwa wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…