Mawaziri waliotumbuliwa kwa fedheha (2005-2023)

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Leo tujikumbushe Waheshimiwa Mawaziri waliowahi kutumbuliwa kwa fedheha ikiwemo tuhuma za (rushwa, udhalilishaji, ulevi, kutumia madaraka vibaya).

1. Laigwanani Mkuu (tuhuma za Rushwa RICHMOND) - mzee wa kuzungusha mikono hewani, ha ha ha
2. Charles Kitwanga, (ulevi)
3. Prof Muongo,
4. Kanghe Lugola,
5. Pauline Gekul (udhalilishaji)
6. Simon Mbilinyi,
7. Id Simba,
8. Msabaa,
9. Kalamaji,
10. Joka la Makengeza, 'vijisenti',
11. Profesa wa pesa ya mboga,
 
Tokea mwaka huo mpaka mwaka huu mwenyekiti wa Chadema ni yule yule.

Rekodi ya gunia.

Chadema wanastahili tuzo ya kuburuzwa.
hauoni fahari mumeo mbowe kukaa muda mrefu madarakani ?
 
12.Nape
13.Gekuli Kachupa
 
Ivi Kangi lugola aliponzwa na kunengua na kushika viuna vya mabinti au ni mambo mengine, nakumbuka alikuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi
 
Tokea mwaka huo mpaka mwaka huu mwenyekiti wa Chadema ni yule yule.

Rekodi ya gunia.

Chadema wanastahili tuzo ya kuburuzwa.
Kwanini usiishangae ccm kung'ang'ania kwa nguvu ya dola madarakani tangu tupate uhuru hadi leo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…