Mawaziri waliotumbuliwa kwa fedheha (2005-2023)

Ccm ahijawai kuchagua mwenyekiti nyerere mpaka alipo ondoka madalakani kwa kubanwa na WB na IMF hakuna demoklasia ndani ya ccm kweli nyani ahoni kundule
 
Tokea mwaka huo mpaka mwaka huu mwenyekiti wa Chadema ni yule yule.

Rekodi ya gunia.

Chadema wanastahili tuzo ya kuburuzwa.
Ccm tangu 1961 rais ndo mwenyekiti wa Chama kofia 2
 
Ccm ahijawai kuchagua mwenyekiti nyerere mpaka alipo ondoka madalakani kwa kubanwa na WB na IMF hakuna demoklasia ndani ya ccm kweli nyani ahoni kundule
Hawa WB na IMF hawawaoni Museveni, Kagame nk ila Nyerere tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…