Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Kutokana na mabadiliko ya teknolojia,
Nashauri Mawaziri wote waweke Ukurasa (platform) hata kwenye website za wizara zao zenye sehemu mbili
1. Kupokea maoni
2. Kupokea malalamiko
Na waziri mwenyewe au msadizi wake awe anapitia mwenyewe mara kwa mara ili apate ujumbe BILA filter
Ukifuatilia huku mtaani wapo watu wenye maoni mazuri sana ya kusaidia Nchi lakini hakuna mawasiliano ya moja kwa moja; Unaweza ona wananchi wanateseka kwa kitu cha kutolea tu maelekezo kwa watendaji wa chini bila gharama yoyote.
Au pengine kuna changamoto ndogo ambazo hata kwa bajeti ya Wilaya inaweza kutekelezeka lakini ndio hivyo tena hakuna mawasiliano ni hadi Muheshimiwa Rais apite watu wasimame barabarani.
NAAMINI MAWASILIANO NDIYO KILA KITU
Labla niweke Nyongeza kuwa; namba Za simu za taasisis za Umma zilizo kwenye mtandao nafikiri zaidi ya 70% hazipatikani kwa sababu mbalimbali either ni mbovu au zilisha badilishwa; Ukituma email inabidi uende kwenye maombi ili ujibiwe.......
Hii inaonesha kuwa mawasiliano na taasisi za umma hayapo au ni madogo sana....
Wahusika wanaweza wasijue hili tatizo kwa kuwa wao humpigia muhusika direct kwa namba binafsi
Nashauri Mawaziri wote waweke Ukurasa (platform) hata kwenye website za wizara zao zenye sehemu mbili
1. Kupokea maoni
2. Kupokea malalamiko
Na waziri mwenyewe au msadizi wake awe anapitia mwenyewe mara kwa mara ili apate ujumbe BILA filter
Ukifuatilia huku mtaani wapo watu wenye maoni mazuri sana ya kusaidia Nchi lakini hakuna mawasiliano ya moja kwa moja; Unaweza ona wananchi wanateseka kwa kitu cha kutolea tu maelekezo kwa watendaji wa chini bila gharama yoyote.
Au pengine kuna changamoto ndogo ambazo hata kwa bajeti ya Wilaya inaweza kutekelezeka lakini ndio hivyo tena hakuna mawasiliano ni hadi Muheshimiwa Rais apite watu wasimame barabarani.
NAAMINI MAWASILIANO NDIYO KILA KITU
Labla niweke Nyongeza kuwa; namba Za simu za taasisis za Umma zilizo kwenye mtandao nafikiri zaidi ya 70% hazipatikani kwa sababu mbalimbali either ni mbovu au zilisha badilishwa; Ukituma email inabidi uende kwenye maombi ili ujibiwe.......
Hii inaonesha kuwa mawasiliano na taasisi za umma hayapo au ni madogo sana....
Wahusika wanaweza wasijue hili tatizo kwa kuwa wao humpigia muhusika direct kwa namba binafsi