Anza na rais anaifanyia nini nchi hii, ukipata jibu huna haja ya kwenda mbali,Unawaonea bure mawaziri wa watu. waacha wamalize honeymoon yao ya miaka 5. kila kitu wamelipiwa na JK!
Nwachukia wote mnaomkwepa JK na kuanza kuuliza uliza mawaziri, RAIS AKIWA SMART system yote inakuwa smart!
Sasa Pinda naye utauliza anafanya nini, wakati JK kamweka makusudi aakijua hatafanya lolote, hatampita kwa umaarufu, sanamu tu,haya ukiona PM zero hao mawaziri wa nini for God sake!waacheni watanue.wengine wanatamba kabisa kamuulize aliyetuchagua!!!