Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kuandika hili kakaKaka/Dada sikiliza vizuri
Wafanyakazi kwa nchi yetu bado sio waaminifu watachangia pakubwa sana kukufilisi halafu wakuache
Yeye anaomba ushauri wa kufanya biashara, wewe unaleta ishu za kununua viwanja[emoji56]Kaka/dada nisikilize vizuri
100m kwa kuanzisha biashara na kutaka faida kubwa kwa TANZANIA utapoteza pesa yote,(Najua hujaelewa)...
Sasa hivi ni msimu wa mavuno ya mpunga. Njoo Morogoro weka kijiwe nunua mpunga uweke store godowns kadhaa ufanye distribution of risk...
Mkuu umetisha, kumbe unazungumza jambo unalolifahamu vizuri . BIG UP
Huwa mnasingizia biashara ya kuhadithiwa ina matokeo tofauti kumbe mara nyingi mnatafuta ushauri kwa watu hawaijui wanaisikia, walifanya zamani (mfano hii nayosema hapa ukitafuta aliyefanya mwaka jana anakupa projection tofauti na ya sasa, baadae unalalamika), wabongo wengi wako too optimistic wanawaza faida kubwakubwa haraka, kufanya kazi na vilaza, wababaishaji, wapuuzi, matapeli.Mkuu umetisha, kumbe unazungumza jambo unalolifahamu vizuri . BIG UP
Mkuu tafuta wilaya moja mkoani ambayo hakuna wakala wapeps,coca ingia mzigoni,Kisha ingia metl agiza vinywaji,ingia bakhresa food product agiza maji,juis aina zote,nenda afya agiza maji,juis aina zote nakuhakikishia utapiga faida ya net profit 4m
Mzee wa miongozoNgoja waje kukupa muongozo...
Motivation speaker mzigoniMkuu tafuta wilaya moja mkoani ambayo hakuna wakala wapeps,coca ingia mzigoni,Kisha ingia metl agiza vinywaji,ingia bakhresa food product agiza maji,juis aina zote,nenda afya agiza maji,juis aina zote nakuhakikishia utapiga faida ya net profit 4m
Ingia kichwakichwa hapo kwa kufuata maelezo yake uone utakavyoangukia pua😀😀😀😀😀Motivation speaker mzigoni